dah we jamaa uanongea vitu ambavyo ukivirelate aseee kuna logic hapo katikati inajengwa
so tusikutute uyo the great Creator yeye haitaji kuabudiwa wala nini
dah mzee hii dunia ina siri nyingi sana aseeeee
ndo maana KIRANGA kila siku umu anasema icho mnachokiita kitabu kitakatifu quran ni kama hadithi za kipepe au ludilofa tu kwa maana kuna contraditions nyingi sana
siku mkifanikiwa kusolve hizo contradictions nyinyi kwa nyinyi basi KIRANGA atawaelewa lakin nyie wenyewe hamuelewani who is...
Aseeee hii mada ni ya muda mrefu sana
it takes me one week, kusoma yote mr kiranga na mr behaviourist nataka kuwaelewa aseeeeee pamoja na Emma. Mimi am pure roman catholic kwa sababu nimekulia mazingira hayo hadi nimesoma shule zao mpaka o level
kiukweli kuna point kiranga huwa unaziweka sema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.