Inaumiza Sana Kuona Tumefika Stage Ambayo,👇
Tunashindwa kuamini watu,kwa kuhofia kusalitiwa na kuonekana wajinga.
Tunaogopa kupenda kwa kuhofia kuumizwa.
Tunaogopa kueleza hisi zetu,kwa kuhofia kuchukuliwa vibaya, Au
Kuanza kudharauliwa na kuhudumiwa vibaya.
Tunaogopa kueleza ynayotuumiza...