Recent content by dayong

  1. dayong

    Arusha: Madiwani wawili wa CHADEMA Prosper Msofe na Obeid Meng’oriki, wajiuzulu na kujiunga CCM

    Watu wengi hususani vijana washabikia siasa wataendelea kushiba propaganda za kina Lema za kua kila anae hama ati kanunuliwa,, lakini ukweli ni kwamba Chadema kinakufa kwa sababu ya kutofuata taratibu za chama na badala yake chama kinaongozwa kwa utashi wa watu fulani fulani,, leo Arusha chadema...
  2. dayong

    Ubunge Afrika Mashariki, CHADEMA hawapati kitu

    Ok sawa ccm inawagombea wasio jielewa,, lakini Je Wenje na Masha wanajielewa? Hapa si afadhali ya Dr Kitila Mkumbo wa Act?
  3. dayong

    Vurugu Dodoma: CCM wamfanyia vurugu Mbunge wa CHADEMA

    Kama babaako alivyokufunza sio? Shwain.
  4. dayong

    Vurugu Dodoma: CCM wamfanyia vurugu Mbunge wa CHADEMA

    Mahakamani akatafute nini wakati haki yake anaipata? Huu ndo utawala ambao cdm waliulilia kwa hali na mali so kama amejifanya yeye ni jeuri kipigo ni haki yake.
  5. dayong

    Makonda, onesha Vyeti vyako halali wanaokutuhumu waaibike

    List of shame, hili pambio lilibamba sana wakati wake karibu kila mtu aliliimba taifa zima likaamini kua nchi ina mafisadi papa,, hii ngoma hata CCM waliimba na kuicheza lakini mwisho wa siku waanzisha pambio wakalikana,, leo wameanzisha pambio la vyeti vya Makonda wakitaka viwekwe mezani lakini...
  6. dayong

    Idara ya Uhamiaji iache kutumika kisiasa kwenye suala la Manji

    Ni ukweli mchungu kua kwa sasa upinzani hauna hoja sasa ni kudandia kila kinachofanywa na serikali na mamlaka zake ili nao waendelee kuonekana wapo hai vinginevyo upinzani ulishakufa kutambo sana.
  7. dayong

    CHADEMA acheni unafiki mlishawahi kutangaza list of shame

    Mtalaumu sana lakini kwa sasa cdm ni sikio la kufa Kamwe halitasikia dawa,,, maana siku zote ukitaka kumuua nyoka we ponda kichwa tu kikisha bondekabondeka basi jua hata ajitingishe vipi ni lazima afe tu,, haina unafiki kichwa cha cdm kilikua ni Dr Slaa kidogo na Zitto,, lakini hawa wengine ni...
  8. dayong

    Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Watu aina ya Tundu Lissu ni saratani inayoliangamiza taifa maana yeye kama mwanasheria msomi badala ya kutoa mchabgo wake ktk mapambano ya madawa yeye anamshambulia anae pambana na wahalifu maana hii vita si ya makonda tu ni vita ya kila mtu mwenye nia njema na taifa letu sasa badala ya kumkosoa...
  9. dayong

    RC Gambo kuanza na bodaboda ni kuangusha uzalishaji

    Lakini tatizo kubwa la watz,, ni ujuaji mwingi na waliowengi wanapata mbadala wa mawazo baada ya wenzao kutoa mawazo yao,, kabla ya kumshauri mwenzio kwenye jambo lake hebu onyesha la kwako ulilowahi kulifanyia kazi na ni nini matokeo yake, maana unapozungumzia habari ya shamba lazima ue na...
  10. dayong

    Obama atoa fundisho kwa Magufuli

    Kiingereza sio lugha pekee ya kuandikia dunia ina utajiri wa lugha na zote zinathaminiwa na ndio maana huwezi kuta mfaransa akifagilia Kiingereza au mjerumani wa Japan kijapani na wachina kichina kadharika warusi kirusi kwanini iwe lazima kwa mswahili kutumia Kiingereza na si kiswahili chake...
  11. dayong

    Obama atoa fundisho kwa Magufuli

    Kweli ukisikia kuishiwa hoja ndo huku! Kitu kinachoitwa ushauri si amri wala si kitu cha lazima kutekelezwa hususani pale mshauri anapotoa ushauri ambao hakuombwa bila hata ya kujua anae mshauri kwa wakati huo anawaza nini au anataka kufanya nini? Siioni mantiki ya vijana wa DJ kua busy na...
  12. dayong

    Maxence Melo ashtakiwa kwa makosa 3, likiwemo la Kumiliki Tovuti ambayo haijasajiliwa Tanzania

    Hii nchi imeingia ungonjwa wa ajabu sana hususani hawa wenzetu wanaojiita wapinzani na baadhi ya wanahabari,, hivi inakuaje kwa watu wengine iukamatwa na kuhojiwa na polisa au hata kufunguliwa mashtaka iwe ni kawaida lakini inapokuja kwa mtu wa upinzani kukamatwa kwa tuhuma anayoshukuwa nayo iwe...
  13. dayong

    Othman Masoud Aliekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aula kimataifa

    Mtu yeyote ambae hupenda kusimamia anacho kiamini basi huyo ni mbinafsi na hafai ktk jamii ukizingatia ukweli kua hakuna alie mkamilifu na makosa yapo katikati ya fikra sahihi...na ndio maana hata wakosoa wa raisi humshauri awe anashaurika maana ukisimamia unachokiamini kama umeamini kimakosa...
  14. dayong

    Moses Machali aamua kurejea CCM. Adai CCM ya Magufuli si CCM ya zamani!

    Mbona hukushangaa kina Mbowe Lema Lissu Msigwa kumkumbatia Lowasa wakati walizunguka nchi nzima wakihubiri ubaya wake kwa miaka nane lakini masaa tu yalitosha kuwabadili mtazamo na kuanza kumwita Malaika?
  15. dayong

    CCM chukueni hatua ya kumhoji Bashe ili athibitishe tuhuma zake

    Nadhani unamtazamo kama wa kwangu! hebu tujiulize cdm hua inakosolewa na nani?
Back
Top Bottom