Eti polisi wapo kwa ajili ya kulinda amani,raia na mali zake!,.Unamlinda raia kwa kumpiga mabomu?,unalinda amani kwa kuhatarisha maisha ya raia?,unalinda amani kwa kuhalibu mali za wafanyabiashara,tena bila kujali mitaji duni ya mikopo walonayo?.Amani iko wapi?,ulinzi uko wapi?,hyo ndo njia...