Recent content by davor

  1. D

    Nimewakumbuka hawa walimu wa Muhimbili PS na Makongo Sekondari

    hhahaha..ndosi ni balaa.umenikumbusha mbali sana 1990 muhimbili pr school
  2. D

    Nimewakumbuka hawa walimu wa Muhimbili PS na Makongo Sekondari

    mkuu ulimaliza mwaks gsni muhimbili p/s
  3. D

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    lundenga ana maslahi na yule siti mtemvu..kaamua kumpa tu japo hakustahili kabisaa
  4. D

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    yule miss ilala alistahili kua miss tz kwa wale wote walioingia 5 bora yule siti lundenga ana maslahi nae.... kwanza kaulizwa anaweza kujibu kwa lugha gani?? akasema english..kilichonishangaza kajibu kwa kuchanganya na french ile peke yake hakustahili kua miss
  5. D

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    hakujibu vibaya...ila yy mwenyewe mbaya..macho yake kumchuzi
  6. D

    Miss Tanzania 2014 live Star TV

    true...siti mtemvu wamembeba tu...haya mashindano hayana mvuto tena wanayachakachua sana
  7. D

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    nichekie hii..so 181/0029 2011
  8. D

    Nyumba inapangishwa

    oya nna upande wa nyuma mzuri sana upo buguruni njia panda ya ghana maji umeme vinapatika stand ni dk 5 tu unafika naitaji wanafunzi 10 tu ni rahisi kufika udsm au duce kila mwanafunzi atalipia 40000 tu..maswali 0713 122177
  9. D

    TCU transfer application

    mucram..nisaidie iyo link haifunguki kwangu...nichekie scie nce with education ipo nafas pale duce
  10. D

    TCU warahisisha zoezi la kuona selection

    mwana niangalizie sozy charles
  11. D

    Msaada jamani please mwenzenu nisaidien wana jf

    wahi st francis ifakara niliona bado wanachukua diproma ya afya
  12. D

    Open University of Tanzania

    mkopo unapata uhakika laki 800..mdogo wangu amepata hapo ila namuamisha chuo nimeenda kumtafutia DUCE na kombi ni bachelor science with education nakushauri fanya taratibu za uhamisho open hutopaweza
  13. D

    Toyota Harrier inauzwa

    ok thanks
  14. D

    Vitabu vya form six na five

    Nauza vitabu kwa wale wanaoitaji ni vya form six na five kombi ya science tu..BIOLOGY,, CHEMISTRY,PHYSICS..ila vimetumika bei maelewano tu 0713558839
Back
Top Bottom