Recent content by davon

  1. D

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Dafuta dawa inaitwa bump patrol iko vizuri mimi ndio naitumia huondoa na pia huzuia vipele vya ndevu inapatikana kwenye pharmacy na maduka ya vipodozi Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  2. D

    tangazo kwa wanaume wanaowahi kufika kabla ya wenzi wao ktk tendo la ndoa.

    Mimi nilishajaribu na iko freshi kama anavyosema jamaa.... Naunatumia kidogo...shuguli unapiga ipasavyo..... Asiyeamini amtafute mshikaji aijaribu Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  3. D

    Natafuta Mtaalamu wa kuchora Nyumba za kuishi.

    Mimi hizo ndio shughuli zangu nilizosomea nina design nyumba ya aina yeyote... Unaweza ukanitumia pm tuka wasiliana vizuri Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  4. D

    Huyu ndio mwanamuziki anaeongoza kwa kuvaa vizuri na kupendeza Tanzania

    Sijawahi kumsikia Huyu jamaa na kweli hizo picha kapigia sehemu moja Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  5. D

    Msaada:kwa yeyote mwenye uelewa na mouse ya laptop

    Umejaribu mouse nyingine? Tatizo linaweza likawa ni la ports... Kama ports ziko fresh nenda kwenye cotrol panel devices alafu chagua mouse then cheki kama device inaokena iko fresh kama itakuwa mbovu itakuwa na ki tiangle cha njano kiclick kucheki kama tatizo ni hardware au software kama ni...
  6. D

    Building designer

    Mchoraji wa ramani za majengo Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  7. D

    Building designer

    Kwa walio interested 0715658198 Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  8. D

    Building designer

    Kwa wale mnao tafuta mtalaamu wa kukuchorea nyumba au majengo ya aina yeyote tuwasiliane. Kwenye pm tufanye kazi.... Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  9. D

    Kuna msichana ananipenda

    Kuna msichana anainipenda kweli na kila siku haachi kuniambia kuwa ananipenda na anataka nimuoe ila ukweli ni kwamba simpendi kama anavyo nipenda yeye na sina mpango wa kumuoa na nimekuwa kwenye mahusiano nae kwa takribani mwaka nimejaribu kuwa na furaha nikiwa nae ila sina furaha... Naogopa...
  10. D

    Worst architectural building along Ali Hassan Mwinyi Road!

    Haha ni kweli aisee ila liko hivo kutokana na function zake za ndani kule juu kuna movie theater ndio maana hamna madirisha.... Ingekuwa bora ziwe kwenye other side ya facade... Sikuhizi hizi kazi zetu zinaingiliwa na maengineer ndio maan design zinakuwa mbaya hio ni kazi ya engineer architect...
Back
Top Bottom