Recent content by davie dee

  1. davie dee

    Fahamu Utajiri Wa Kishirikina wa Matajiri wa Kahama, Shinyanga

    Hao waganga njaa waongo...mganga kweli anaomba zawadi sio pesa na zawadi yenyew utapeleka siku ukishaona mafanikio....so utachagua ww umpe pesa au chochote ukipendacho ww
  2. davie dee

    Fahamu Utajiri Wa Kishirikina wa Matajiri wa Kahama, Shinyanga

    Waganga,wachawi,washirikina wanaviapo vyao kati ya uchawi au pesa....so nguvu ya kumiliki vyote viwili hawana anachagua kimoja
  3. davie dee

    Simon Msuva ashinda kesi yake FIFA, kulipwa Bilioni 1.6

    Shirikisho la Soka Duniani FIFA limeiagiza Club ya soka ya Wydad Casablanca ya Morocco kumlipa Mchezaji Mtanzania Simon Msuva @smsuva27 zaidi ya dola za kimarekani laki saba ( Tsh. zaidi ya bilioni 1.6) baada ya Mchezaji huyo kushinda kesi ya madai aliyoifungua dhidi ya Club hiyo. Msuva ambaye...
  4. davie dee

    Zaidi ya 80% ya maroli yanayorudi Dar hurudi tupu

    Sijakuelewa hapa nifafanulie vzur nielewe
  5. davie dee

    Zaidi ya 80% ya maroli yanayorudi Dar hurudi tupu

    mizigo ipo sema contena lina time limit ya kutoka bandari hdi siku ya kurudi...ukichelewesha contena ulilolitoa bandarini unapgwa faini so usione gar ipo na contena tupu ukazani kakosa mzgo si kweli sema wanakimbizana na muda
  6. davie dee

    Niliwahi kuishi kwa Waziri fulani miezi 3 watu wanaishi maisha bora

    kuna mwaka tulienda kwa Mh.Waziri fulani hv mzaramo, nyumba yake iko somewhere..ilikua kutoa milango ilokuepo na ku replace mingne..tukajua leo hapa msosi wa kibabe basi mchana ulivofka ulitengwa ugali mkubwa na kisamvu nili mind sana yaan nkawaza katukomoa au nini sema matunda,ma juice ,maziwa...
  7. davie dee

    Watuma salamu maarufu waliotamba kwenye vipindi mbalimbali vya Redio

    na kuna huyu member kutoka humu jamvini kila siku DW lazima atajwe mda mwingne kupigiwa simu ROBERT HELIEL
  8. davie dee

    Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

    bila picha za watoto ni chai,wengi tunasimulia stori za watoto wa kaka zetu na shemeji zetu... Mi mtot wa kaka angu ana miaka 3 wa kiume korofi balaa mda mwingine ananiambia ondoka kwenu hapa kwa baba angu mara achia rimoti,yaan kama unafatilia vipindi vzur utasubiri katuni ziishe....nami...
  9. davie dee

    Kimara: Dada wa kazi adaiwa kumnyonga mtoto wa miaka 8

    Mwanamke wa kisukuma anakwambia "we katafute ulete me kazi yangu kukuzalia na kutunza familia kama kazi/biashara ntaifanyia hapa hapa nyumbani" Shida nyingne mkiona wote wasomi ujuaji unakuwa mwingi sana.
  10. davie dee

    Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

    bora uwe maskini kama mimi kuliko kuwa na pesa nyingi zikakusumbua.. Jamaa anaua alf anajiua kizembe sana....yaan mi niache ugali na dagaa kisa mabususu? Ladb mi sio mnyamwezi
  11. davie dee

    Rally 'back pass' Bwalya

    kwa ushauri wangu,yanga tumchukue left footer magician..huyu mwamba anaupga mwngi kinoma
Back
Top Bottom