Nilianza shule nikiwa naitwa X nikasoma mpaka darasa la sita, nikafukuzwa shule, ilikua private na sikuweza pata uhamisho.
Nikaamia shule nyingine ndani ya wilaya hiyo iyo ya serikali lakini mkuu wa shule niliyohamia akadai siwezi endelea na jina langu la mwanzo ikabidi nibadili jina.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.