Hongera kwa shule za serikali zilizojitokeza katika kumi bora naimani bado zitakuwa bora maana vipo vipaji ndani ya shule za serikali ambavyo vikitiliwa maanani vitakuwa msaada kwa jamii na taifa kwa ujumla
government school # the sleeping giant
NIMEKUPATA NDUGU LAKINI KAMA MTU UNAFACE PUBLIC KUELEZEA KITU KUWA WAZI TRY TO CONVINCE UMMA KUWA HABARI SI ZAKWELI SIO JUST KUELEZEA KWA NAMNA RAHIS HIVO TENA UPO CBE KWELI HIZO NFORMATION KAMA MUHASIBU ZINAKUTOSHA???
crooked iformation Azam hawezi kujibu kirahisi kiasi hicho hatutaki tin number aweke kadi ya TRA yenye kumwonyesha kuwa amesajiliwa kuwa VAT tegistered
Aweke mchanganuo jinc hiyo kodi inavyolipwa maana kwa maana hiyo basi wanalipa kitu kinaitwa double tax kama wamekuwa registered Mouritious...
hahahahaaa kuna vitu huwa nacheka sana nikisikia maana najifunza kitu kama watu wanafuja fedha za sirikali hadi wanakuja kufuja na chama basi muda si mrefu tutasikia mtu analaumiwa kufuja hadi za familia yake mweeeh
me dont.......
hongera kaka kwa kuhis hata hilo ni jambo la kizalendo tatizo watanzania sijui tuna ugonjwa gani wa akili maana unataka kumkosoa mtu mwenye hoja yake wakati ww huna hata hoja zaidi ni unaongozwa na vujihisia vya ajabu ajabu
hongera ndugu ulichokiandika tayari ni elimu tosha kwa watanzania na...
ningependa kujua kwann ndugu yangu GENTAMYCEN umekuja publicly kumpendekeza mzee bulembo maana tunashindwa kujua umeweka uchama mbele na kwa maslahi ya chamaa au umefikiria na taifa pia???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.