Huu ni mkondo kama ulivuo mkondo WA WAWATA... WA kila mwanamke mkatoliki ni wawata. Karismatiki NI mkondo WA karama ... charisma... Kila mbatizwa lazima awe na hizi karama za Roho Mtakatifu. Huwezi kuwa Moyo WA Yesu au UWAKA au kwaya yoyote kama huna hizi karama.
Soma hapa utaelewa zaidi...
Wacha kuhukumu. Mungu hapendi wanaohukumu wala watukanaji. Haimbariki Mungu. Ni vizuri kuelimishana na kama mtu haelewi usihukumu endelea kuomba Roho WA Mungu ndiye mwalimu pekee na atafanya kazi Tu Kwa wakati wake kama Wewe ulivyofikiwa.
Kama Wewe ni mkristo WA dhat ingia kwenye YouTube: Andika kongamano la Pentekoste Karismatiki Dodoma: kuanzia day 1 Hadi sasa naamini maswali mengi uliyo nayo yatajibiwa. Na kama Wewe ni mkatoliki utaeleweshwa pia kuhusu sinodi ..
Tuzidi kumuomba Mungu kazi yake aliyoijia duniani ikamilike. Kusemana huku hakuna tija.... Wewe unajua ... Mimi sijui... Tuelimishane ili tutembee pamoja.
Ubarikiwe sana Chokodari . Huu ndiyo uelewa WA Hali ya juu. Usio na ubaguzi
Ndugu NI lini mara ya mwisho ukiingia ndani ya Kanisa katoliki? Usitoke conclusion za juu juu. Roho Mtakatifu hakubagua alipowashukia familia ya Kornelio walikuwepo wenye kila tabia... Soma tena Year 31:29-30
Hapana hawa ni wakatoliki kamili na huu ni mkondo WA uamsho ndani ya Kanisa katoliki uliokubalika na Baba Mtakatifu na mkondo huu uko chini ya kila Askofu WA Jimbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.