Recent content by David Naturazi

  1. David Naturazi

    Cartoons that will make you laugh!

    Hivi mtu anawezaje kuapata kazi ya kuchora cartoon jamiiforums?
  2. David Naturazi

    Nini chanzo cha Mwanamke kumuoneshea kiburi na jeuri mwanaume wake katika mahusiano

    Aisee kama nimesoma uhalisia na ukweli mwingi sana. Asanhte kwa kuni coach 🤝
  3. David Naturazi

    Nini chanzo cha Mwanamke kumuoneshea kiburi na jeuri mwanaume wake katika mahusiano

    Mi naona wewe kama umesema vyema maana hata wenye pesa wanakomolewa na wake bado. Yani ukiwa na pesa utasikia mara humridhishi, mara kibamia, ukiwa mwanaume mashine na unamridhisha na una pesa mara utasikia nilikupendea pesa zako tu... Yani basi mwanaume unakoma mpaka unataka kuimba mapenzi...
  4. David Naturazi

    Hakuna mahusiano ya kirafiki ya mwanamke na mwanaume

    Yaani upo kama Mimi 😀😀🤝 ndiyo maana nikiwa single, girl akiwa anachat na Mimi mara kwa mara yan naona hapa Mungu anipe nini Makmuga. Ila nikiwa kwenye mahusiano aisee huwa si entertain kuchat na other girls kabisa lkn mpenzi wangu akionyesha kunipuuza penzi langu mara hajibu sms hata za salamu...
  5. David Naturazi

    Hakuna mwanamke anaetoboa mbele ya Mwanaume Halisi

    Mi naona hapa nifuate tu my heart and my philosophy. Yan kichwa kinauma maana nishapenda mpaka nikasali na huko kwa Mungu wakajua kuwa kweli nampenda fulani lakini ... anyway ngoja niishie hapa. Ila kama huyu mwenzangu alipost uzi huu ameweza kufanya hivyo alivyoandika anajitahidi kwa kweli mi...
  6. David Naturazi

    Hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja kimwili

    Mi naona sasa nakoelekea nakuwa SINGULAR kabisa siyo single sema ni kipengele kuamua kuwa single acha tu.
Back
Top Bottom