Wakuu habarini za muda huu,
Glory to God!
Hatimaye nimeitwa kwenye interview secretariet ya ajira post ya Assistant Accountant baada ya kusota kwa takribani miaka 5 bila kazi yoyote.
Ombi Langu Kwenu
Kwa wale waliowahi kufanya interview ya mchujo, naomba walau kujua wanauliza maswali ya...
Jamani wadau hasa job seekers kuweni makini na mtu anayeitwa John Robert anatamia namba 0715811260. Huyu ni tapeli wa kimataifa atakupigia simu kuhusu kazi muogope sana huyu!! Me alinijaribu Mara 4 halafu anasahau kuwa alishanipigia simu Mara Tatu Leo ananijaribu tena!
Kuna mtu pale ndani namfahamu aliniambia hizo application zilizopo pale ni balaa zinakaribia kujaa chumba kimoja wenyewe hawajui waanzie wapi kuzifanyia kazi../
Jana niliuliza mpendazoe bado ni mwanachama Wa chadema? nikashangaa ile post Leo siioni kuna mtu mwingine ameleta hii sio mbaya kama yupo SNV bado chadema? Mana kwenye mikutano ya kuimarisha chama sijawahi kumsikia au ndo wale wale mamluki??? Kazi maalum?????
Waliopata chance hongereni sana wengine tulijaribu tukachemka au tulichinjiwa baharini??MUNGU ATUPE UVUMILIVU WATOTO wa maskini siku moja milango itafunguka tuu!!
Nauza viwanja nyangu viwili kimoja kipo
1.GOBA STAND sqm 700 umeme upo jirani na maji pia bei 14m
2.KIBAHA KWA MATIAS sqm 1500 umeme upo jirani na maji pia 8m
Maongezi yapo
0717 034 934
No dalali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.