Recent content by David Jairo

  1. D

    Msigwa ndani ITV kipindi dakika 45

    huyu jamaa harudi bungeni 2015, hata makamanda wengi waliompigania 2010 hawako nae kabisa ni mbinafsi mno, anaungwa mkono na layman tu ambao ni wafuata upepo.sasa hivi anabebwa na na think tanks za chadema kwenye mikutano yake kama lissu, lema n.k, hawa kwenye kampeni 2015 sidhani kama watakuja...
  2. D

    Wasifu wa GRAYSON NYAKARUNGU...

    asikusumbue hana hoja za maana,tupo nae pale mzumbe, kwa kifupi jamaa ni kibaraka wa management ya chuo.hata pale chuoni si mmoja ya wapambanaji wanaosukuma agenda za chadema. anatafuta kick. ni mmoja wa vijana wanaounda mtandao wa PM7. cha kujiuliza kwanini anaibuka sasa? ukisoma waraka wake...
  3. D

    Zito,Mkumbo na Wenzake kufanya mkutano na waandishi wik ijayo

    hata mimi naamini kamati kuu imeyaacha baadhi ya mambo makusudi tu.sidhani kama waraka ule tu upelekee maamuzi makubwa naama hii.Dr Kitila na MM wenzake wakifungua mdomo tu mzigo wote utawekwa hadharani.wakati wanaopitia kina Zitto sasa ni mgumu, lakini wakati ambao chadema ingepitia kama...
Back
Top Bottom