Recent content by David Buzzizer

  1. David Buzzizer

    Wanaotafuna vitunguu swaumu kila siku tukutane hapa

    Hi ya kumeza punje ndogo ndogo naifanyaga lakini zile punje nakuja kuziona kwa choo hi imekaaje au n kwangu tu.?[emoji23]
  2. David Buzzizer

    Nimejikuta ni mtu wa mawazo sana na bado ni kijana mdogo

    Ofcoz Lazima upate pressure, na sio pressure tu hata kisukari... Cha msingi fanya mazoezi Ila kusababisha mzunguko wa damu uwe sahihi na kula vzr pia
  3. David Buzzizer

    Nimejikuta ni mtu wa mawazo sana na bado ni kijana mdogo

    Pole Sana hio imenikuta hata mimi
  4. David Buzzizer

    Naomba kufahamishwa haya kuhusu ving'amuzi vya Azam

    Wakuu habari za saa hizi, Naomba kuuliza, Kati ya king'amuzi cha Azam antenna na King'amuzi cha Azam Dish kipi bora na kizuri? Naona Bei ni tofauti nilitaka kujua nini ambacho hakipo katika antenna na nini ambacho kipo katika Dish.[emoji120][emoji120]
  5. David Buzzizer

    Picha: Hivi vikaptula vya wanaume wa Dar vipigwe marufuku

    Nyie cndio mnapenda Leo hamtaki tena [emoji1787]
  6. David Buzzizer

    Anaejua app ya ku hack Msg na calls kuna mtu nataka nimtafutie sababu

    Umeandika kwa hisia sana tafanya Ushauri wako [emoji2][emoji2]
  7. David Buzzizer

    Anaejua app ya ku hack Msg na calls kuna mtu nataka nimtafutie sababu

    Kuna mtu nataka nimtafutie sababu
Back
Top Bottom