CHADEMA is a political academy:
Imewapika wanasiasa wakaiva, CCM wakawachukua.
Tunashuhudia matunda ya kazi ya CHADEMA, imefikia sasa CCM badala ya kuandaa wanasiasa wake wanasubiri CHADEMA wawapike waive, halafu wao wanavuna.
Is a good strategy kwa CCM, no need of much investment in academy...