Binafsi sioni dhambi vyama vyote kumuunga mkono Magufuli amalize kipindi chake. Otherwise ni kupoteza fedha na rasilimali. Uchaguzi si vita, bali mchezo wa hesabu. Namba zilishagoma kwingine.
CHADEMA is a political academy:
Imewapika wanasiasa wakaiva, CCM wakawachukua.
Tunashuhudia matunda ya kazi ya CHADEMA, imefikia sasa CCM badala ya kuandaa wanasiasa wake wanasubiri CHADEMA wawapike waive, halafu wao wanavuna.
Is a good strategy kwa CCM, no need of much investment in academy...
Hii nchi inapoteza heshima kwa sababu ya kuwa na viongozi wabovu wasio na sifa ya kuwa viongozi.
Bahati mbaya sana Mkuu wa nchi mwenyewe kapigwa upofu haoni jinsi anavyodhalilishwa na wateule wake.
Rais kama kweli yupo kwa ajili ya watanzania wote bila kuzingatia itikadi hana budi kuchukua...
Kama kuna viongozi wanaivunjia heshima serikali ya Yohana basi ni huyu jamaa wa Yohana, ametufanya tuone mamlaka ni kijiwe cha kusutana na kufanya kila aina ya upumbavu
Hongera sana Mbunge Lema, juhudi zako tumeziona.... Endelea na moyo huo kuwatumikia wananchi wako, usikate tamaa pambana kikamanda achana na hao wanaotafuta sifa na utukufu kule fb tunawajua na wao wanajua tunawajua kwamba ni hewaaaa
Meya Laurence Hedi na Madiwani wako Rudisheni fedha za umma
Mkurugenzi awadai hata Marehemu Jubilate Kileo na Bashiri Msangi. Si ni hela za umma? Kadai tu.
Meya Gaudence Lyimo na madiwani wake Mkurugenzi awadai fedha za umma zirudi.
Huu mchezo hauhitaji hasira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.