Ayubu 5:11-13 NEN
Huwainua juu wanyonge, nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama. Huipinga mipango ya wenye hila, ili mikono yao isifikie ufanisi. Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao, nayo mipango ya wadanganyifu huiondolea mbali.
Hatakuwa ni yule wa mawingu media,
Ambaye nimekuwa niniona anatoa habari ambazo mara nyingi zinaingilia privacy ya watu, kama sherehe, misiba .
Ni vyema sana kuwa na heshima kwa faragha za watu licha ya kuwa habari hizo ni biashara
Ayo hapewe break kwani hipo siku atakanyaga phase ya high...
Shukrani kwa bandiko
Lakini naamini kupitia bandiko lililopita " je ni yeye ajaye"
Hadi kufika August kuna mambo mengi Mungu anakwenda kulitendea taifa la Tanzanian 🇹🇿 🇹🇿
Mbeba maono hafi hadi mpango wa Mungu utimie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.