Recent content by Daud26

  1. D

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akataa kuuza utu wake kwa hongo. Majaji hawataki kuingia kwenye rekodi mbaya. Samia akosa namna sahihi ya kuachana na kesi ya mtu huyu..!

    Usipoamini unekwisha hukumiwa, ila ukiamnini moyoni mwako na kukiri kwa kinywa chako unao uzima wa milele
  2. D

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akataa kuuza utu wake kwa hongo. Majaji hawataki kuingia kwenye rekodi mbaya. Samia akosa namna sahihi ya kuachana na kesi ya mtu huyu..!

    Ayubu 5:11-13 NEN Huwainua juu wanyonge, nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama. Huipinga mipango ya wenye hila, ili mikono yao isifikie ufanisi. Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao, nayo mipango ya wadanganyifu huiondolea mbali.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    May powerful God ,strengthens you Philippians 4:6 Psalms 143:9
  4. D

    JamiiForums Tanzania Hizi simu zinashida gani mbona bei kitonga sana

    😂😂😂 Angalia jina sijuhi huhawei/Wuwawehi. panachangamka tanzaniya siyo Tanzania Rahisi ni gharama
  5. D

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Habari iingilie kati Wanahabari wanaoingilia Faragha za watu

    Hatakuwa ni yule wa mawingu media, Ambaye nimekuwa niniona anatoa habari ambazo mara nyingi zinaingilia privacy ya watu, kama sherehe, misiba . Ni vyema sana kuwa na heshima kwa faragha za watu licha ya kuwa habari hizo ni biashara Ayo hapewe break kwani hipo siku atakanyaga phase ya high...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Soko Singida Linawaka Moto Muda Huu

    Pole kwa wafikwa wa janga hilo
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kwa kukamilisha yale ya mtangulizi wake, kisha kujumlisha na ya kwake anayotenda, kutomshukuru ni kujichumia tu dhambi za bure!

    Shukrani kwa bandiko Lakini naamini kupitia bandiko lililopita " je ni yeye ajaye" Hadi kufika August kuna mambo mengi Mungu anakwenda kulitendea taifa la Tanzanian 🇹🇿 🇹🇿 Mbeba maono hafi hadi mpango wa Mungu utimie
  8. D

    JamiiForums Tanzania Mabaraza ya wadhamini wa makanisa wawe serious kusimamia katiba za makanisa vinginevyo mengi yatafutwa kwa kutozingatia mashartti ya usajili

    Yakifungwa ndiyo utafurahi, ? Kanisa ni jengo, watu au ni Kristo? Kanisa ni mali ya mtu au Kristo?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Itigi: No Reforms No Election yapokelewa kwa kishindo

    NRNE
  10. D

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORM NO ELECTION
Back
Top Bottom