Recent content by Daud Johnson

  1. Daud Johnson

    Huna sura huna chura, nakusaidiaje

    Neno langu sio sheria bro
  2. Daud Johnson

    Huna sura huna chura, nakusaidiaje

    Okay, ila ukitambua hilo tu inatosha, so haina haja ya ku judge
  3. Daud Johnson

    Huna sura huna chura, nakusaidiaje

    Ameshindwa kutambua ya kwamba binadamu hatuko sawa. I mean we are of different type
  4. Daud Johnson

    Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

    Kwa mujibu wa hii post nimejifunza kwamba mkopo sio mbaya ila ubaya wa mkopo ni pale unapokosa management iliyo bora pamoja na sehemu sahihi ya kuwekeza. All in all that is good experience for learner's.
  5. Daud Johnson

    Nahitaji mkopo ili nikuze biashara yangu

    Sawa nashukuru kwa ushauri bro
  6. Daud Johnson

    Nahitaji mkopo ili nikuze biashara yangu

    Ni kweli kabisa ila ninategemea ningepata hata kwa mtu binafsi ingekuwa ni vizuri bro
  7. Daud Johnson

    Nahitaji mkopo ili nikuze biashara yangu

    Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mjasiriamali ninafanya kazi katika ofisi yangu ambayo nimeianzisha mwenyewe maeneo ya chanika Dar es salaam. Lengo haswa la kuja mbele yenu ninahitaji mtu abaye yupo tayari kunikopesha kwa makubaliano maalumu, yaani kwa mkataba pia kwa riba tutakayo kubaliana...
  8. Daud Johnson

    Nahitaji mtu muhimu "potencial man" kwaajili ya kushirikiana naye kibiashara

    Ni kweli kabisa bro, pia nimewahi kusikia changamoto kama hizo, ila sitaki kuamini kuwa haiwezekani kabisa kumpata mtu sahihi katika hili
  9. Daud Johnson

    Nahitaji mtu muhimu "potencial man" kwaajili ya kushirikiana naye kibiashara

    You may be right bro, and I'm struggling enough to make sure things comes better, but still there's a big gap between my capital and the demands. That's why I'm here bro.
  10. Daud Johnson

    Nahitaji mtu muhimu "potencial man" kwaajili ya kushirikiana naye kibiashara

    Tatizo una uwezo mkubwa wa kukariri kuliko kuelewa! Hivyo nakushauri uongeze bidii ya uelewa wako. Kama ujumbe haujauelwa ujuwe si wa class yako bro.
  11. Daud Johnson

    Nahitaji mtu muhimu "potencial man" kwaajili ya kushirikiana naye kibiashara

    Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mtafutaji, naishi Dar maeneo ya chanika. Kitaaluma ni mwanasheria ila kwa sasa nafanya biashara katika ofisi yangu binafsi. Lengo la mimi kuja kwenu ninahitaji mtu ambaye yupo tayari kushirikiana nami katika biashara yangu yaani tutengeneze partnership...
  12. Daud Johnson

    Natafuta mchumba wa kike

    Yap
Back
Top Bottom