Acha ushamba!! Kama unajua wanatakiwa kutoa ushauri, na hata kumtaka rais kustisha mchakato ni ushauri...
Wap sasa tulipo? 2/3 hakuna na mabilioni yameshateketea!
Jiulize, kwanin CCM wanawazonga baadhi ya wajumbe wa BMK kisa wamesema HAPANA kwa sura na ibara zote za katiba pendekezwa ya CCM? Na kwanin pia isiwepo kamati ya maridhiano ya kuwauliza wale wengine kwanin wanesema NDIYO kwa sura zote na ibara zote za hiyohiyo rasimu ya CCM?
Tunamshukru Mungu anasikia kilio chetu na anawapa busara viongozi wake wa Dini kututetea kondoo wake na kamwe tusipotee.
Maaskofu hakuna haja ya kubishana na sitta ambaye yeye anatafuta uraisi alikuwa wananchi wa urambo na urambo yenyewe ni Maskini, kwa mda wote tangu awe mbunge katika jimbo...
Dovutwa na cheyo ati wanasubili nini?
Wanasubiri ndege bandarini? Waache waendelee kusubili hata ivo 2015 chama cha cheyo(UDP) na kile cha Mrema(TLP) vitatoka rasmi TCD na kujiunga na chama cha kina Dovutwa. Wakati huo Dola ipo na members wa ukawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.