Recent content by Datot

  1. D

    Huyu binti ameniletea balaa

    Ok, shukrani sana kwa ufafanuzi huu, wengi hatuna uelewa kabisa
  2. D

    Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

    Hongera sana kiongozi, ngoja na sisi wengine tuendelee kusubiri wakati wa bwana anaweza tenda. Mi nilishaanza kukata tamaa, lakin post yako imenipa matumaini, kumbe inawezekana
  3. D

    Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

    Nimeondoa hiko kigezo...ni ngumu sana kuthibitisha...bora HIV , tutapima wote
  4. D

    Huyu binti ameniletea balaa

    Duuh kumbe?, mbona hatari sana...
  5. D

    Huyu binti ameniletea balaa

    Linatumia dawa, halafu likipima majibu yanakuwa negative tena??? Sijaelewa hapo mkuu. Mbona wanasemaga...hata utumie dawa vizuri kiasi gani. Lakini ukipima lazima isome positive?? Mwenye ufahamu naomba unifafanulie hapa.
  6. D

    Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

    Ngoja nimcheki kiongozi
  7. D

    Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

    Hapana..kama umekidhi vigezo hivyo vingine...njoo PM tuzungumze...Hakuna aliyemkamilifu duniani hapa. Mkamilifu ni Mungu wetu tu.
  8. D

    Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

    Waje PM tuyajenge...
  9. D

    Natafuta mchumba

    Unaishi mkoa gani?, na upo tayari kupima HIV?
  10. D

    Natafuta mchumba

    Mimi nina 34, upo tayari?? Na siyo hayo makabila natokea mikoa ya kusini mwa Tanzania
  11. D

    Natafuta mchumba Mkristo (mke wa kumuoa)

    Sifa zake: 1. Awe na hofu ya Mungu. 2. Awe tayari kupima HIV. 3. Asiwe mfupi, Rangi yeyote ile, maana mimi mwenyewe ni mrefu 4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu. 5. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k. 6...
  12. D

    Natafuta Mume wa kunioa

    Nipo hapa
  13. D

    Natafuta mchumba

    Na mm mwenyewe...natafuta mchumba wa kike, sifa zake 1. Awe anajua kusali(mwenye hofu na mungu) 2. Asiwe mchawi 3. Asiwe mnene sana wala mwembamba sana (wastani) 4.Awe tayari kupima HIV 5. Asiwe mfupi angalau mrefu kidogo, mana hata mimi ni tall alafu black man. 6. Asiwe tegemezi mana hata mimi...
Back
Top Bottom