Hongera sana kiongozi, ngoja na sisi wengine tuendelee kusubiri wakati wa bwana anaweza tenda. Mi nilishaanza kukata tamaa, lakin post yako imenipa matumaini, kumbe inawezekana
Linatumia dawa, halafu likipima majibu yanakuwa negative tena??? Sijaelewa hapo mkuu.
Mbona wanasemaga...hata utumie dawa vizuri kiasi gani. Lakini ukipima lazima isome positive?? Mwenye ufahamu naomba unifafanulie hapa.
Sifa zake:
1. Awe na hofu ya Mungu.
2. Awe tayari kupima HIV.
3. Asiwe mfupi, Rangi yeyote ile, maana mimi mwenyewe ni mrefu
4. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha nne, sita, hata chuo kikuu.
5. Ajue kupika, aisiyependa uchafu na awe anajua kupika kila aina ya chakula kuanzia maandazi n.k.
6...
Na mm mwenyewe...natafuta mchumba wa kike, sifa zake
1. Awe anajua kusali(mwenye hofu na mungu)
2. Asiwe mchawi
3. Asiwe mnene sana wala mwembamba sana (wastani)
4.Awe tayari kupima HIV
5. Asiwe mfupi angalau mrefu kidogo, mana hata mimi ni tall alafu black man.
6. Asiwe tegemezi mana hata mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.