Recent content by Darwin 9

  1. Darwin 9

    TANESCO kuna shida gani kwenye mfumo wa LUKU?

    Jaribuni kwa M-Pesa inakubali.
  2. Darwin 9

    Rais Samia jenga barabara ya njia nane Dar to Mwanza, Morogoro to Mbeya, Dar to Arusha

    Mheshimiwa Rais samahani sana, na pole na majukumu yako mama. Sisi WaTanzania ambao kwa bahati mbaya tumewai kufanikiwa kutoka nje ya nchi hii kiukweli roho imekua ikituuma kuona vi nchi vidogo ambavyo vingine havitufikii kwa rasilimali na utajiri tulio nao, et navyo vina barabara bora na kubwa...
  3. Darwin 9

    Natafuta mke mwalimu

    😂😂😂😂
  4. Darwin 9

    Natafuta mke mwalimu

    nashukuru kwa wazo hili
  5. Darwin 9

    Natafuta mke mwalimu

    ameen kaka, naamini kaka
  6. Darwin 9

    Natafuta mke mwalimu

    Hahahahahahaha daaah nimecheka sana. we jamaa ni mwehu sana.
  7. Darwin 9

    Natafuta mke mwalimu

    Nina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh. Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde. Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea, primary, secondary au chuo, awe ni mwalimu tu. Kwanini Mwalimu? Well, ni sababu ni mwanamke wa ndoto...
Back
Top Bottom