Nina miaka 30, nimeajiliwa na kipato namshukuru Mungu kipo fresh.
Naishi Dar es Salaam. Sina mtoto, dini mkristo. Urefu 6'2, maji ya kunde.
Natafuta mke, awe mwalimu, regardless chekechea, primary, secondary au chuo, awe ni mwalimu tu.
Kwanini Mwalimu? Well, ni sababu ni mwanamke wa ndoto...