Hapo ndio huwamini kuwa zt habebwi na mtu wala ukawa ni mtu aliyejitasmini na kukubalika sio kubebwa na mwenzako akikuchoka utakimbiliya wapi tena?
Ukawa ukawa mkafie hulo
Iliuishi maisha marefu ni lazima
Uwena akili ya kufikiri
Uwe na akili ya kuwaza
Uwe na akili kusikiya kitu na ww ukakitasmini je ni kweli?
Uweze kujitasmini
Uwe na akili kutokutumiwa kama mty aliye kunywa viroba
Sifa hizi ukiwanazo ndio utasema kweli ww binadamu
Wafwasi wengi wa cdm hawana...
Tunatukanwa na wafwsi wa cdm kutuita warundi wasaliti wao wanajuwa ili uwe mpinzani ni lazima umchaguwe myu kutoka cfm tu
Hivi hao waliopo nccr sio wapinzani?
Jifunzeni
2015 sio mbali wana cdm tuwanyoosha tu
Sawa ndugu elewa tu hata wale unaowaona wapo cdm leo wengi wao ni waliotemwa na ccm ndio wapo xcdm leo
Au ww hukumbuki ndugu
Bora uwe unakaa kimya tu kama hujui siasa za nchi yetu
Mayange sisi tumetukanwa sana hususani na misukule wa cdm
Tunasema tumejitambuwa kama wao wameona upinzani ni lazima uwe cdm watasubiri sana
Tuliipenda cdm
Sasa basi hatuitaki tena
Wamebaki masaliya tu mkowani
Vidonge vyako vya kumeza kutuliza akili hujameza? Hivi juzi mlikuja na hoja wamerudi cdm tena leo mnakuja na kauli wamewazuiya ccm sijui act unaakili kweli?
Kapimeni akili sikuizi ugonjwa huo matibabu ni bure kabisa
Kwa chama gani cha kuweka mamluki?
Mkowa wa kigoma cdm kimebaki yatima kimekufa hakina muwelekeo tena
Naona mtowa mda kachanganikiwa
Mwambieni awatajie anaegombeya uwebyekiti taifa kama watu awacheki kwa mshangao wa wagombeya
Maisha yangu sasa toka nijitambuwe kunamagazeti ya
1 Tanzania daima
2 uhuru
3 mzalendo
Kamwe siwezi kutowa sh 1 kununuwa hata bure siwezi
Kusoma
Magazeti yamekaa kiudaku tu kwa kumfuraisha boss kasema nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.