Kama wewe huna Masters Degree hilo ni tatizo lako na ndicho kinachokusumbua. Ungelikuwa emeenda shule, ungelikuwa na uwezo wa kuchambua na kuelewa namna ya ku interact na watu wa ngazi zote, walisoma na wasiosoma. Wasiokuwa na elimu ndiyo wenye matusi bila hoja.
Ulishindwa nini kutoa mchango...
Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. Na kila alichokiumba Mungu aliona ni chema sana. ...
Wewe kwa akili yako ilivyondogo kama ya panzi, unafahamu kwamba kuchukuliwa hatua waharifu, mpaka aliyeibua hoja awe waziri wa sheria.
Bado kuna serikali hapo?
Kwa mtazamo wako baada ya Mwakyembe...
Watanzania tulihitaji mabadiliko. Hii ni kutokana na taifa kupoteza dira na taswira ndani na nje ya mipaka yake. Tumeshuhudia teuzi nyingi zikifanyika wa misingi ya undugu na nasaba pasipokujali tija kwa taifa.
Ni jambo la kushangaza kwamba watu kama hawa wanaachwaje kuteuliwa na badala yae...
Tafuta hoja ya maana Lizaboni. Wanawake ni bidhaa kwamba hawana uwezo wala haki ya kuamua aolewe na nani na aachane na nani?
Mahusiano mangapi yanavunjika na wapenzi wanatawanyika?
Nisehemu gani ya katiba ya nchi inayosema raisi ni lazima awe na mke aliyemkuta hajaguswa waal kuwa na uhusiano...
Umesema sawa raisi wa Watanzania. Jambo moja hujalifahamu mheshimiwa ni kwamba, safari za kikwete za nje huwa si za kujifunza best practices. Mrengo wake halisi ni kusocialize na kukimbia domestic catastrophes ambazo ana ziprovoke lakini hana uwezo wa kuzikabiri.
Dawa ni serikli kutuma polisi waende wakawapige wafanyabiashara wote wanaogoma!. Nyumba kwa nyumba!!!!!!
Ukitegemea busara na kweli serikali ya ccm umekwisha. Hawana uwezo huo.
Ndugu zangu,
Nimepoteza vyeti vyenye majina ya MARIAM PETRO NTOBI.
Ninaomba yeyote atakayeona cheti ama kitu chochote chenye majina haya, awasiliane na mimi kwa simu number +255 754290 au kipeleke kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe, kisha nipigie kwa zawadi yako.
Ninachohitaji ni...
Ninadhani si vizuri sana kuhusisha tabia za mtu na mazingira yake ya kuzaliwa, kwa sababu hakuna mwanadamu anayepanga azaliwe wapi na katika mazingira yapi.
Kuna watu wengi sana ambao kuzaliwa kwao hakukuwa kwa shamrashamra ama mstrai mzuri, lakini leo ni watu ambao jamii zao zinawategemea kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.