Natafuta kazi yoyote isipokuwa ya ndani na ya bar. Mwenye uhitaji wa mfanyakazi anitafute pm
Muwe na siku njema.
Jamani kama huna kazi usinitafute kwa kunikejeli.
Habari zenu wapendwa,naimani mko salama
Natafuta kibarua Cha kufanya ,Kama Kuna mtu ambaye anata kuajili binti katika shuguri zake anitafute
Ni mwaminifu na ni mtulivu
Nafanya kazi yoyote isipokua ya bar au ndani ndo sita weza kufanya
Kwa maelezo zaidi karibu pm
Nipo mkoa wa Mwanza...
Kila binadamu Ni mpole ,kila binadamu Ni mcheshi,kila binadamu Ana huruma kila binadamu ni katiri kila binadamu Ana kichwa Cha mda so isiwe sababu ya kumdharau mtu na kumkejeer kwakua anashida ipo ivi Mimi naishi na mtu anavyo ishi na Mimi ukijieshimu nakueshimu pia.unafiki sipendi siwezi...
Naaamini mtu mwenye Nia ya kutafuta mtu wa kumsaidia katika shuguli yake yoyote ile atakuja dm sipo kuchagua kazi kwa Sasa kila mmoja na njia zake za kutafuta kitu hivyo ata nikiweka sifa zangu mtu akihitaji chura atahitaji tu.ni mtazamo wako pia mkuuu shukran kwa ushauri wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.