Kwahiyo mwaka 2014 kurudi nyuma Kariakoo haikuwa na biashara nyingi za kufanana? Je kuna bidhaa zilizokuwa zinauzika vizuri kipindi cha nyuma ila kwasasa zimeachwa na wafanyabiashara wakaamua kuuza zinazofanana na jirani zao? Mnaongea kama mapunguani, Twende CHINA pale GUANGZHOU uangalie...
Hakuna biashara mpya wewe, kila biashara unayofikiria kufanya tayari ipo na ndio maana hizo bidhaa au huduma inapatikana. Kwani Kariakoo ni ya Juzi 2015? Au kuna siku miaka ya nyuma ulifika pale basi kila Duka ukakuta lina bidhaa tofauti na lingine? Ukiingia mtaa wa Hardware utakuta maduka yote...
KKKT ijenge hospitali nzima mpaka kufikia ilipo Serikali leo ndio ione kwamba inaweza kuibiwa Mishahara ya baadhi ya madaktari wao Milioni 129?
Huu ni upuuzi wa kiwango cha juu. Milioni 129 ni Sadaka ya Jumapili moja Makanisa 5 tu hapa Arusha mjini
Unadhani Ontario hakuwa na cha kufanya kilichombana DAR alipoamua kwenda South Africa?
Ukiambiwa kuna kazi mpya ya kukulipa dola 100 kila siku utabakia na hiyo kazi unayofanya sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtu alisafiri mpaka SA kutafuta hii elimu na kuileta hapa nashangaa mtu akisema niko mkoani siwezi kuhudhuria. Je ukiambiwa kila siku Ontario anatoa Dola 200 pale hautahudhuria? Maana ya gharama ndio hii, Safiri kalipie malazi na chakula pamoja na nauli ya kwenda shule kila siku, ukimaliza...
Kwa yeyote anejua au aneweza kunipatia chumba kizuri kwa ajili ya kijana anaesoma IFM, kiwe maeneo salama na karibu na usafiri nitashukuru sana.
Bajeti yangu kuanzia elfu 50 mpaka 70 kutegemea na chumba.
Ushauri pia napokea...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.