Recent content by dantes steven

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa udom mwenye kujua hili naomba msaada

    Nashukuruni kwa ushauri wenu nimewaelewa vizuri
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa udom mwenye kujua hili naomba msaada

    Naomba mnisaidie nimejaribu kuwapigia cm zao za mezani hawapokei kwenye website yao wamesema mwisho kulipa ada na michango ni tarehe 30 nikilipa kwa sasa watanigomea
  3. D

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    Hapo kwa ushauri wako mkuu maana niliomba na diploma ya umeme nikasome tu hiyo diploma au nakakomae nayo hiyo business informaxn system
  4. D

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    sijakuelewa vizuri hapo kiongozi naombba nieleweshe vizuri kwamba kwa Tz haina dili au ni vipi nielekeze vizuri maana unayomaanisha
  5. D

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    nimekuelewa homy itabidi nikakazane nashukuru sana kwa ushauri wako
  6. D

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    mkuu napenda kujua kazi zake ni zipi?
  7. D

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    nimekuelewa mkuu maana niliomba na diploma ya umeme but nashukuru kwa ushauri ntaenda soma
  8. D

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua Bsc Business information systems

    Naombeni msaaada wana jamvi tafadaharini nimechaguliwa hii course pale udom kuhusu upatikanaji wa ajira uko vipi na inahusu nini hasa,
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Msaada wenu tafadhari kuhusu hapo udom kuna jamaa angu alikuwa ana principle moja SSD kawa adimitted udom software eng. Anahofia kwenye registration wanaweza mzingua but ni ameandikiwa adimitted
  10. D

    JamiiForums Tanzania naomba usauri wako.....plz

    Ahsanteni sana kwa ushauri wenu nimewaelewa vizuri ntaenda dit sababu napenda umeme na baba amesema hata nikienda dit atanilipia thanx guyz
  11. D

    JamiiForums Tanzania naomba usauri wako.....plz

    naomba unishauri juu ya hili nimepangiwa UDOM software engineering lakini pia niliomba diploma ya electrical eng. DIT nimepata sijajua soko la ajira kwa software engineering liko vipi naomba ushauri wenu...
Back
Top Bottom