Fanya Kituo kimoja tu katika maisha yako, muombe Mungu akupe chaguo alilokuchagulia na usitafute suluhisho katika ulevi mwanamke haji kwahiyo kumchagua wewe ila anakuja kwahiyo kupewa na Mungu hivyo usijilaumu kwa kumkosa sasa ila jiulize kama angefanya hayo ukiwa nae ingekuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.