Nikweli kiongozi nipo chuo Ila cheti Cha form four huwa kina umumuhimu wake zipo baadhi ya nafasi hutaka mtu mwenyew ufaulu wa kidato Cha nne SoMo la mathematics angalau awe na D ya mathe.
Habari zenu wakuu.
Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo ninayosoma Hadi Sasa.
Nataka ku risiti nirudie SoMo moja la mathematics ambalo nilipata "F" form four...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.