Recent content by Danny OG

  1. D

    Wakali wa series, msaada wa Series kali za action/upelelezi/ugaidi

    Alex raider Ni series ya mwaka Jana Ila 🔥🔥 na Game of throne japokua Ni ya mda kidog Ila kwangu Ni moja ya series ya muda wote
  2. D

    Msaada kuhusu kurudia somo moja

    Sawa kiongozi Asante sana nitafanya hivyo.
  3. D

    Msaada kuhusu kurudia somo moja

    Nashukuru sana 🙏🏿🙏🏿 kwa ushauri wako mkuu naamini umenisaidia sana angalau najua pa kuanzia sasa.
  4. D

    Msaada kuhusu kurudia somo moja

    Nipo mbeya kiongozi kwani wew upo mkoa gani ??
  5. D

    Msaada kuhusu kurudia somo moja

    Nikweli kiongozi nipo chuo Ila cheti Cha form four huwa kina umumuhimu wake zipo baadhi ya nafasi hutaka mtu mwenyew ufaulu wa kidato Cha nne SoMo la mathematics angalau awe na D ya mathe.
  6. D

    Msaada kuhusu kurudia somo moja

    Sawa shukrani ndugu
  7. D

    Msaada kuhusu kurudia somo moja

    Habari zenu wakuu. Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo ninayosoma Hadi Sasa. Nataka ku risiti nirudie SoMo moja la mathematics ambalo nilipata "F" form four...
Back
Top Bottom