Kiongozi wewe umeongea point sana watu wanasema ni matapeli lakini wote ambao wamedumu kwenye mfumo kwa mwezi mmoja wamesharudisha pesa yao ya kiingilio na wanaendelea kupata faida. Na mpaka sasa hakuna ambaye ametapeliwa. Mimi ni mwezi wa pili huu nimerudisha ela yangu na naendelea kupata...
Naitwa Godfrey
Salama.
Naombeni ushauri nilikuwa naweka pesa paripesa ikafeli na meseji ikaja kwenye app yangu kuwa deposit rejected. Ila cha ajabu pesa ilikuwa imeshatoka airtel money. Sasa haijafika kwenye app na airtel money poa imeshatoka. Nimewapigia airtel wanasema ela imeenda paripesa...
Naombeni msaada?
Je utt liquid fund ina gawio kwa kila mwezi kwa mwekezaji? Au ni lile ongezeko la thamani ya kipande pekee?.Na kama kuna gawio linaanza kwa mwekezaji aliwekeza kiasi gani cha fedha?
Naombeni msaada?
Je utt liquid fund ina gawio kwa kila mwezi kwa mwekezaji? Au ni lile ongezeko la thamani ya kipande pekee?.Na kama kuna gawio linaanza kwa mwekezaji aliwekeza kiasi gani cha fedha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.