Recent content by Dannie Charlz

  1. Dannie Charlz

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betpawa [emoji91][emoji91] 2D496E8 Tuishi nayo edit tuma tena
  2. Dannie Charlz

    Kuhusu isuzu bighorn (Trooper)

    Nahitaji kujua matatizo common ya hii Isuzu bighorn maaan kuna siku nimeibamba mkononi ilikuwa inatembea vzr ni comfortable nkatamani kununua ila mwnye nayo hakunipa matatizo common ya hizi gari naombeni ushauri
  3. Dannie Charlz

    Tatizo common kwenye engine za BMW

    UKINUNUA GARI POPOTE PALE HASA ZILE USED HAKIKISHA UNAPATA SERVICE MANUAL BOOK YA GARI HUSIKA naamin hutalichukia gari km ukipata kitabu chake maaan vinakuwa na mambo mengi ambayo yataku guide katika siku zote za utakapo limiki hilo gari Wale wanaochukuaga 0KM wanaelewa faida ya hvo vitabu cost...
  4. Dannie Charlz

    Tatizo common kwenye engine za BMW

    Ila ikija kukuomba mfukon utaona bora bimmer
  5. Dannie Charlz

    Toyota Crown Athlete - ‘the Japanese Benz’

    Yaaan sio poa af yanashuka thaman vibaya mno European cars ziko juu always performance yaaan kila kitu Japanese cars zinapata soko kubwa sabab wanaproductovity kubwa kulinganisha na European inatoa kitu kdg with something good Hata km apewe top speed ya 240 bado hakai kwa European...
  6. Dannie Charlz

    Biashara ya mapazia

    Hello JF members nahtaj kujua kwa undani zaid wenye experience na biashara ya mapazia pamoja ushauri wenu wakuu wap naeza pata kwa bei nzur kwa bei ya jumla ili niuze bei ya rejareja na jumla pia.
Back
Top Bottom