Hayo ni maneno tu na mawazo yako hata kwenye kanga yameandikwa. Halafu nahisi wewe itakuwa umeolewa ndo maana unaandika pumba eti mbabe halafu wewe utakuwa nani. Riziki anatoa mungu sio wewe binadamu mwenye mawazo potofu.
Anza wewe kujifunza kuandika ndo uje uniambie mm. Huna hata aibu jifunze kukaa kimya sio kila post ikiandikwa humu JF lazima na wewe uandike kama huna point potezea ili amani ya moyo iendelee kuwepo.
Kaa kimya kwanza wewe, kama we we ni mnyenyekevu kwa nn unaendelea kujibu msg. Utakuwa wa kwanza kulala na njaa wewe unayejifanya una unyenyekevu kumbe hata haujui maana ya sifa ya unyenyekevu. Anayetoa riziki ni mungu wewe ni nani si binadamu tu. Hebu jaribu kuonyesha huo unyenyekevu.
Siku zote heshima haiji bila wewe binafsi kujiheshimu. Jiheshimu ili uheshimiwe. Uliona wapi MTU anatoa unyasi ulio katika jicho LA mwingine wakati yeye ana boriti kubwa. Basi anza boriti ndipo unyasi utolewe.
Kweli kabisa na wewe umeliona hilo,!!! Si kila post atakayotuma MTU lazima uijibu vitu vingine wanatakiwa watu wapotezee wawaachie wenye uhitaji. Mara weka email Mara picha ili mradi tu wao wajifurahishe, unajua wengi hawaingii kila wakati mtandaoni kwa hiyo ukiiweka namba inasaidia haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.