Recent content by daniel93

  1. D

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    siku nilienda karambezi cafe , basi nikaanza kumkumbuka insider [emoji16][emoji16][emoji16], nikaanza kuimagine sijui alikaa hapa au pale na mtt Irene,.. all in all hongera champ
  2. D

    MSAADA: Nimedharirika Sana Jana mbele ya Mwanamke

    fanya kukimbia walau nusu saa kwa siku,kunywa maji ya kutosha, punguza vyakula vya wanga Kama ugali na wali badala yake tumia , parachichi, supu, mboga za majan na matunda , alafu jitahid kupiga push up 100 kwa siku., fanya kwa siku 90 utaona matokeo
  3. D

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    kweli mkuu sikupingi nmeshuhudia[emoji16][emoji16]
  4. D

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    private Ila inashirikiana na public, kwakifup wanaita ppp
  5. D

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    unachokisema n kweli mzee , huku ofisn nmeshuhudia boss wangu anamla mke wa mtu bila uoga, Tena haend hata lodge au hotel humo humo ofisn kwetu, naishia kufunga Domo langu tu ili nitetee ugali wangu , Tena sio mke wa mtu mmoja n Zaid ya wawili Hadi ikafika hatua wake za watu wanagombana kisa...
  6. D

    Mke wangu ataja jina la mwanaume mwingine wakati wa tendo la ndoa

    pole Sana mkuu, wazee wa kale walisema fimbo ya mbali haiui nyoka, sepa fasta usije fanya maamuz magumu
  7. D

    Ushauri: Nataka kumuoa ila anapenda pesa na muda wote yupo mtandaoni

    Duuuh ...mkuu mm iyo laki tatu kwa wiki ngeenda kujumua maharage vijijini na kuuza mjini tena ngepata faida kubwa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

    Fanya kumsamehe mkuu.....wanaume tuliumbwa kuongoza na sio kuwa followers .....unapofanya maovu aliyofanya ina maana ww n follower wake ..... just think great ....msamehe tu kwan bnadamu wanamapungufu meng sana .......stand as man ...atakua ameona kosa alilofanya........msamehe ili nawe...
  9. D

    Nini kinamliza mwanamke kitandani?

    Mkuu piga kama mbwa mwizi ndio heshima itakuepo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Msamehe tu ndugu yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    Nimethibitisha ni kweli mke wangu kanisaliti

    Me nadhani kaa chini kwanza ...tafakar kwann ameamua kufanya hivyo...muulize sababu ya kufanya ivyo.....then kapimen afya ...kama yupo ok ..msamehe tuu ...usitumie hasira ktk kufanya maamuzi ... binadamu n watu wa ajabu sana ndugu yang Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom