Mimi ni mwanaume mwenye miaka 29,natafuta msichana wa kuwa nae kwenye mahusiano na hatimae kuoana nae.awe na umri kuanzia miaka 22-26,mcha mungu,anaejiheshimu na kujithamini,mchapakazi,mwenye mawazo chanya..elimu yake kuanzia kidato cha NNE na kuendelea. Aliye tayari njoo pm but zipo njia nyingi...