Zimebaki takribani km cku 15 vijana kidato cha sita nchini kote waanze mitihani yao ya mwisho, ni wao pekee watakaohukumu future yao ktk maisha ya kitaluma.Ungana nao kwa maombi mbele za Mungu wa mbinguni,ili wakahukumu vyema kwa kuandika vizuri mitihani yao.
Jamani wana Jf kuna hatua gani za kufanya ili kupata scholarship,na je ni vigezo gani vinavyozingatiwa haswa.Na mwisho ni chi gani nzuri zaidi kitaaluma kwa upande wa universities ktk Afrika mashariki na kwingineko duniani.Ahsanteni jamani
Naomba ukubaliane na mimi kuwa hata ktk makanisa mengine uliyoyataja wapo watu wa mfano wa mke wako,si kila aliye majini ni sangara kuna hata kobe na wadudu wengi tu.Naomba pia utofauishe kati ya secular na non secular state,na kwa maana hiyo mwanadamu hawezi kushindana na Mungu {zaburi 24:1}...
Ni kipi haswa chanzo cha Maendeleo duni ktk nchi za ulimwengu wa tatu{3}?.A)Mfumo wa uongozi & viongozi,B)Wananchi wa nchi husika.Chagua jibu moja wapo utoe ufafanuzi wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.