Recent content by DANIEL MSWELO

  1. D

    JamiiForums Tanzania POINT OF NOTICE: CHADEMA wakija na tamko jingine refu..

    nasikitika kuwa umekuwa mvivu wa kufikiri.chadema haipambani na ufisadi tu na ikaishia hapo bali chadema inapigania haki na maslah ya watanzania.fikiria mambo kama kutetea wananchi kupunguziwa vifyaa vya ujenzi,huduma za afya,elimu na maji na mambo mengine kedekede.tetea ccm wamefanya nini cha...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Huyu nae ana sifa za kuwa rais wa mwaka 2015. Ajadiliwe.

    Mengh anaweza kuwa presidential material kwa asilimia 30 tu kwa mtazamo wangu kwan ana nyanyasa sana vibarua wake hasa ujira ili ajiongezee utajiri mkubwa,rejea alivyotaka kuwadhurumu orijino komed walipokua chanel 5.30% nilizompa ni kuthamin mchango wake wa kuwasaidia wasiojiweza hasa matibabu...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nani anamfahamu mwenye namba hii 0769779533?

    Ongea na kampun ya voda waiblobk no way.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Matata bado meya halali wa manispaa ya Ilemela

    Anapaswa kusimamishwa umeya kama ameshindwa kesi ya kufukuzwa udiwani xaxa huo umeya anautoa wapi?? Hebu huyo matata kama jina lake afukuzwe umeya kwan mazingira yanaonesha kuwa ametumwa na ccm na serikali yake ili kudhorotesha kasi ya chadema manispaa ya ilemela kupitia baraza la madiwan.hana...
Back
Top Bottom