nashukuru kwa mawazo na mchango wako chanya
tajibu kama ifuatavyo
rejea hitimisho katika andiko langu aya ya pili ' nimesema kua kilimo pekee hakiwezi kututoa katika umaskini lakini kinaweza kutumika kama nyenzo kuu ya kuunganisha sekta zingine zote katika vita dhidi ya umaskini na mfumuko wa...
shukrani mkuu
pia ulichosema ni kweli mkuu ndio maana inabidi iundwe tume huru, ambayo inaweza kusimamia mipango mikakati hata kama ni katika awamu ya muda mrefu katika kutoa elimu bora kwa wakulima ..usahihi wa taarfa za mabadiliko ya tabia nchi na namna ya kukabili ili kuleta kesho imara
hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.