Hatr wanataka kujua mipaka ya dini na siasa ili kuweka mambo sawa sababu wakisifia hawaambiwi wameinglia siasa wakikosoa wanaambiwa wameinglia siasa shida hipo.
Naamini kama unafanya kazi kama kazi yako na taratibu zinavyokutaka za kazi yako sizani kama utakua na ofu ya kumhofia mtu,au kua na kigugumizi katika kufanya maamzi kama mkuu wa idara au meneja katika taasisi unayoiongoza lakini kama utendi na uwajibikaji ni wa dili dili ndipo kuhofiana...
Sio kwamba Rais alitoa yeye pekee hizo mil 60 yeye alihaidi kuwapa 10 kwaajiri ya chakula na di chache akadai ile 10 aliyotoa ni ndogo akamwita waziri mkuu pia aongezee akatoa 10 na viongozi wengine eg waziri Mhagama na Ndalichako walitoa mil6 kwa kila mmoja inshort walichangia viongozi mbali...
Hizi pesa si kwamba zilichangwa na viongozi mbali mbali hadi kufika mil 60 ambapo yeye alitoa mil 10,waziri mkuu 10,mawaziri wenine eg Mhagama na Ndalichako 6 kwa kila mmoja na wenginwo hadi wa mikoa si kwamba Rais katoa 60 zote yeye pekeee na alidai za chakula kwa walim na wanafunzi wa chuo...
Napendekeza iwepo sheria ya kuwaadhibu hawa wanaochaguliwa na wananchi baada ya miaka miwili unaona walikosea kukuchagua kupitia chama flani na kwa kusema uwezi kutimiza yale uliyowahaidi ukiwa chama hicho kwann usingeliona ilo mapema au vumilia hadi muda waliokupa ridhaa uishe ndo utangaze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.