Nashindwa kufungua file ambazo nimedownload kama matangazo hivi, vitabu cjajua kwa nn naombeni msaada.
Mfano file ambalo lipo katka systm ya PDF nikidownload cwezi fungua plz nifanyaje?
So kaka TCU wao wana conclude vipi maana nao wanakuwa kama mafala hivi hawawez sema chuo hawakijui halafu kwenye vitabi vyao bado wanavitangaza huu ni usenge kumamake.....
So mda mlipoteza hapo wanafanyaje ujue con umaana wa TCU vyuo vingu vinaelekea kuzidi hata makanisa na misikiti sasa halafu...
Kwa anaye jua lolote kuhusu hii course aniambie jamani kama vile
1) soko la ajira lipoje
2) mtu anae anza kazi mshahara wake upoje
3) maeneo gani mtu alie soma hii course anaweza fanyia kazi
4) ugumu wa course na urahisi wake
5) mbinu zake za kusoma ikitokea umechaguliwa
6) field unaeza...
Wadau wa elimu naomba leo tujadiri faida na hasara za TCU katika elimu ya chuo kwa upnde wangu mm naona haina faida yoyote ile.... ni bora watu wangekuwa wanachukua form chuoni lakin co kupitia TCU... naomba na ww uchangie tujifunze kitu tujue faida yao na hasara za TCU
Cheti anapata..... coz yA BRN lakini hata kama hicho chuo wanataka accademic certificate dis tym watakuwa waongo coz hiyo inatoka baada ya mwaka mmja maybe result slip ambayo imeshatoka, na leaving labda ambazo c dhani kama zitakuwa zimetoka coz paper za kutengenezea dis tym zinatoka necta sa...
Kwa anaye fahamu masonya secondari ipo wapi mkoa na kama kuna mtu ana mawasiliano au au nae ndugu ake kachaguliwa huko plzzzz tarfa yoyote kuhusu masonya secondary
Mm mwenyewe nimesoma hiyo mikoa yote miwili na kati ya mikoa yenye msimamo na na mtihani wa mock basi ni kilimanjaro na arusha wote hao huwanapiga mwezi wa 11 wao huwa haijarsh ratba imebadilika vipi na cc ratiba ilitoka mwezi wa 7 so jipange
Kwann tunahngaika na hili swala akati kuna wanachuo walio pitia njia ya TCU na wanajua A-Z wao walipataje majibu na mambo ilikuwajeee???? Process nzima wanaijua plzzzzz ajitokeze mmja atuambie mwanzo mwisho na co mtu anakuja mm cjui nan alifanya hv hatutaki tunataka muhusika mwenyew aseme ye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.