Hamieni hata kuzimu lakini hamuwezi kukidhoofisha chama tena maana msaada wenu amefukuzwa. Nadhani mnabaki pia pembeni mkimwonea huruma kuporwa kitumbua chake kwa sababu za usaliti
Sasa siono comments za kutaka zitto afukuzwe kutoka kwa Faiza Fox, Ritz, Rejao, Chris Lusoi na wenzao. vipi mlidhani chadema hakiwezi kusimamia maamuzi yake? mlidhani mwanachama mmoja ni zaidi ya chama? Mjifunze kutoka kwetu, sisi si wa kuwalalamikia wanachama wenye lengo la kuvuruga chama...
Niliweka post humu ndani kuhoji maamuzi ya kamati kuu ya chama juu ya Zitto na wenzake lakini leo hii nikiri kuwa nilikosea sana. Naunga mkono ila naomba kwa Dr. Mkumbo apewe fursa nyingine, natumaini hayupo tena kwenye huu mkumbo wa Zitto. Zitto kweli ni msaliti na afukuzwe mapema chamani...
:confused2::confused2::confused2:Niliweka post humu ndani kuhoji maamuzi ya kamati kuu ya chama juu ya Zitto na wenzake lakini leo hii nikiri kuwa nilikosea sana. Naunga mkono ila naomba kwa Dr. Mkumbo apewe fursa nyingine, natumaini hayupo tena kwenye huu mkumbo wa Zitto. Zitto kweli ni msaliti...
abdulazizi mnola
Yesterday 07:59
#91
Junior MemberArray
Join Date : 24th November 2013
Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given10
Re: Sh 5,000 inaweza kabisa kunitoa kimaisha!
By SHAFII ABDALLAH
Habari watanzania wenzangu nimependa mada hii mtu kuwa bilionea kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.