Hatuombi haki ila ni kwamba jamii inayomkandamiza mwanaume kwa sababu tofauti tofauti haina haki ya kumuambia mwanaume namna ya kuishi pale anapopata nafuu
Ni mental ileness as long as you do not know what is behind. People go through a lot maka wanaamua kuwa single kwenye maisha. Sidhani kama ni mental illness.
Mabikira wapo. Wanaume na wanawake ni tofauti kifikira. Mwanaume anatakata awe wa kwanza na awe mwenyewe, hata ukiangalia kwa wanyama, wanyama wengi wana male dominancy. Kwa hiyo jamii imeamua kumfanya mwanaume asiye na kipato kizuri kuwa hana thamani ila mwanaume huyohuyo akipata kipato, jamii...
Na kwenye hii dunia, hakuna bianadamu ambaye ana deni la mapenzi kwa binadamu mwingine. Ni mtu anaamua akubali au akatae. Na naamini kama vile kila mtu alivyo na haki ya kukataa mtu asiyempenda au kuwa na hisia naye, basi hata yeye ana haki ya kukataliwa. Kukataliwa kwenye mahusiano sio mwisho...
Kuna muda MUNGU anawaondoa wale wasiostahili kwenye maisha yako kwa sababu huenda wangekurudisha nyuma. Mtu akikukataa kwenye maisha inabidi uendelee na maisha yako kwa sababu, kwenye maisha tunaishi mara moja na kingine muda haurudi nyuma, wakikukumbuka wakumbuke, wakikupotezea wapotezee
ba
bad enough is that, most of those who get mistreated by the locals aren't illegal foreigners as they call them. Most of them have legal papers and they are in SA legally, but due to extreme hate and what they call xenophobe, they have decided to make sure that anyone who is black and not a...
Niliona clip moja wakiongea na raia weupe, wale wana kama asili ya Asia, wanawaomba wasiwaajiri wasio wa south africa, yaani wanaabudu watu weupe ila wanaua watu weusi.
kwa sababu ni kauli inayotumika kulaghai wanaume wengi sana. Imagine unakuta mwanaume akiwa single, hana mtu, anahangaika kupata mtu, anakutana na rejections nyingi sana, heartbreak za kutosha na maneno kama "wewe sio type yangu", alafu yule aliyekuwa anamuambia "wewe sio type yangu", akipata...
kupata full package ni ngumu sana, yaani awe mzuri + tabia nzuri + bikira. Ila hata huyo mzuri wa sura naye si alikuwa bikira? mbona ni kama vile inawezekana, ni MUNGU tu akiamua kukutanisha naye, ni sawa.
Kweli ni dhana potofu, ila suala la kusema "tukubali sisi ndo tumewapa hao watoto" unakosea, sema wewe ndio umewapa hao watoto maana kuna wanaume wengi ambao:
1. Hawana watoto
2. Hawakuwahi kuwa kwenye mahusiano, huenda walikataliwa kwa sababu tofauti tofauti mf. uchumi, kuitwa mshamba na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.