Hii dhana kuwa Mwanamke 'Single Mother' hafai tena kuwa na Mwanaume mwingine na wana matatizo ni nani alitudanganya Wanaume?

Hii dhana kuwa Mwanamke 'Single Mother' hafai tena kuwa na Mwanaume mwingine na wana matatizo ni nani alitudanganya Wanaume?

Mwanaume anapenda na Mwanamke anapenda pia
Unaweza ukampenda Mwanamke ila yeye asikupende, so kinachofanyika huwa ni kumshawishi mpaka akupende...na unaweza fanikiwa au usifanikiwe

▪︎Ukimshawishi kwa pesa anaweza asikupende ila akapenda pesa zako so akaigiza kukupenda tu ili apate pesa zako na umhudumie.

Halafu kupenda hafundishwi Mtu mazee...anaweza akala pesa zako na upo nae physically ila Moyo wake upo kwa Mtu mwingine kabisa asiye na pesa...that's LOVE

▪︎LOVE ni kitu kikubwa kwsbb ni issue inayogusa Hisia ya Moyo kabisa.....ILA kutokana na Umasikini na uhitaji wa pesa basi asilimia kubwa ya watu wa dunia ya 3 huku tunaigiza kupenda ili tupate mahitaji ya kijamii na vipesa.
Binafsi naona mwanamke anachagua mwanaume kwa vigezo vya ulinzi matunzo na mbegu hapo kwenye wao kukupenda sijajua kwa kweli
 
Binafsi naona mwanamke anachagua mwanaume kwa vigezo vya ulinzi matunzo na mbegu hapo kwenye wao kukupenda sijajua kwa kweli

Sio wanawake tu hata sisi wanaume tunachagua good looking, healthy na mentally stable woman. Mimi naamini kila mtu anapenda mara moja tu, tena wakati tuko vijana wadogo na hormones zonafanyaka. Mara nyingi hatuwezi kuwa na watu tunaowapenda kinachofuata ni kuchagua
 
Sio wanawake tu hata sisi wanaume tunachagua good looking, healthy na mentally stable woman. Mimi naamini kila mtu anapenda mara moja tu, tena wakati tuko vijana wadogo na hormones zonafanyaka. Mara nyingi hatuwezi kuwa na watu tunaowapenda kinachofuata ni kuchagua
Basi hii kitu kupenda ni drama tu🤔
 
Basi hii kitu kupenda ni drama tu🤔

Unaweza kumpenda mtu kweli lakini the feelings are not going to stay the same forever. Ndio maana kuna kitu kinaitwa commitment, na hii ndio iliyofanya wazazi wetu waishi pamoja kwa miaka yote.
 
Binafsi nina story tofauti. Nmeona yote na nmepitia kwenye mahusiano ya situation zote mbili.

Siku nikiwiwaa kushare hii story nitaongea.
But kama umependa na mwanamke anajielewa fuata moyo wako. Unaweza kuoa bikra na ukapigwa matukio mpaka shetani akashindwa kukutetea. Na unaweza oa single maza na ukala mema ya nchi.

Haya maisha hayana formula moja so ishi kimasta.
 
Ajabu sana! Singo maza imekuwa kama ni kilema hivi, na hao hao wanaowananga ndio wanawatongoza kila uchao.
Singo maza ni wa kuwachakata mbususu tu sio kuoa na ndo wanatoa mbususu kiurahisi ndo maana tunawatongoza sana they're so easy to manipulate
 
Binafsi naona mwanamke anachagua mwanaume kwa vigezo vya ulinzi matunzo na mbegu hapo kwenye wao kukupenda sijajua kwa kweli
Sasa si ndio kukupenda kwaajili ya hizo sifa? Unachagua unachokipenda
 
Sio wanawake tu hata sisi wanaume tunachagua good looking, healthy na mentally stable woman. Mimi naamini kila mtu anapenda mara moja tu, tena wakati tuko vijana wadogo na hormones zonafanyaka. Mara nyingi hatuwezi kuwa na watu tunaowapenda kinachofuata ni kuchagua
Lifestyle yetu ndio inayosababisha hayo yote, tazama Western Guys, tazama Mtu kama Messi na wengine wengi wanaanza kupendana wakiwa around 14 -17 na wazazi wanajua & later wanakuja kuoana

Kiafrika haipo hiyo, miaka ya nyuma vijijini ilikuwa inatokea ila sikuhizi mpaka huko vijana wamekuwa spoiled na wote wanakimbilia mijini kukutana na wanaowakaribisha mijini
 
kwa sababu ni kauli inayotumika kulaghai wanaume wengi sana. Imagine unakuta mwanaume akiwa single, hana mtu, anahangaika kupata mtu, anakutana na rejections nyingi sana, heartbreak za kutosha na maneno kama "wewe sio type yangu", alafu yule aliyekuwa anamuambia "wewe sio type yangu", akipata mtoto na playboy, akikataliwa anarudi nyuma na kusema "real men" ndio pekee wanaweza ku handle single mother, Je hakuwaona hao real men b4? Anayesema hivyo hawezi kumshauri mtoto wake wa kiume au kaka yake aoe single mother, ila kwa sababu wengi wameshazoea kuharibu maisha ya wengine, anaweza akashauri mtu baki afanye hilo kosa.

Sisemi single mothers ni wabaya, ila pia si support kumuita mtu kuwa sio mwanaume kwa sababu tu amekataa kubeba matokeo ya makosa ya mtu aliyoyafanya mwenyewe. Mwanamke anaweza kusema "hataki mwanaume asiye na pesa" ila wengi wanaona mwanaume hapaswi kusema "anataka mwanamke bikira" .
 
Kwanza mwanamke unayemuoa anaanza kukushangaa una matatizo gani? Yeye ndiye wa kwanza kukudharau. Hakuna mwanamke anapenda mwanamme mjinga mjinga.
 
kwa sababu ni kauli inayotumika kulaghai wanaume wengi sana. Imagine unakuta mwanaume akiwa single, hana mtu, anahangaika kupata mtu, anakutana na rejections nyingi sana, heartbreak za kutosha na maneno kama "wewe sio type yangu", alafu yule aliyekuwa anamuambia "wewe sio type yangu", akipata mtoto na playboy, akikataliwa anarudi nyuma na kusema "real men" ndio pekee wanaweza ku handle single mother, Je hakuwaona hao real men b4? Anayesema hivyo hawezi kumshauri mtoto wake wa kiume au kaka yake aoe single mother, ila kwa sababu wengi wameshazoea kuharibu maisha ya wengine, anaweza akashauri mtu baki afanye hilo kosa.

Sisemi single mothers ni wabaya, ila pia si support kumuita mtu kuwa sio mwanaume kwa sababu tu amekataa kubeba matokeo ya makosa ya mtu aliyoyafanya mwenyewe. Mwanamke anaweza kusema "hataki mwanaume asiye na pesa" ila wengi wanaona mwanaume hapaswi kusema "anataka mwanamke bikira" .
Kila mtu ashinde mechi zake sishabikii watu kuzaa zaa tu bila mipango! Lakini pia sipendi watengwe au wahesabiwe kuwa wote ni wahovyo!
 
Back
Top Bottom