Asante sana kwa moyo wako wa kutaka kumsaidia mtu ambae huna udugu wa damu nae.
Kiukweli sihitaji kupewa nauli tu, japo hiyo ndio main focus (kuondoka hapa kahama).
Nahitaji ajira tu ndugu yangu.
Kwanini ajira tu ? Kwa sababu dhamiri yangu hainiruhusu kumpa mwingine mzigo wangu mwenyewe...
Ndugu zangu nipo Kahama hapa mambo yameniendea ovyo kabisa. Nimepoteza mtaji wote katika biashara za kimachinga sina hata nauli ya kurudi Mbeya nilipotoka kuja hapa KAHAMA.
Natafuta kazi yoyote ya halali hapa KAHAMA, niifanye kwa miezi miwili hii, mpaka mwezi wa pili ili angalau nipate nauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.