Recent content by Daniel Adrian

  1. D

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Kampuni gani inafanyaga hivyo ?
  2. D

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Ukiachana na magroup ya ajira. Magroup gani mengine watu wanajiunga kwa pesa
  3. D

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Kumbe mtu anaweza kujiajiri kwa kuwa na group tu!
  4. D

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Jamani hakuna mtu kujibu hayo maswali nilouliza ?
  5. D

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Ukiachana na magroup ya ajira. Magroup gani mengine mtu anatakiwa atoe hela kujiunga ?
  6. D

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Hivi jamani mnambie, kumbe kuna magroup mtu anatakiwa atue hela ajiunge ?
  7. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Asante sana kwa moyo wako wa kutaka kumsaidia mtu ambae huna udugu wa damu nae. Kiukweli sihitaji kupewa nauli tu, japo hiyo ndio main focus (kuondoka hapa kahama). Nahitaji ajira tu ndugu yangu. Kwanini ajira tu ? Kwa sababu dhamiri yangu hainiruhusu kumpa mwingine mzigo wangu mwenyewe...
  8. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Nisaidie nipate hata kazi moja (yoyote ile) basi ndugu yangu si unajua tena sisi sio wazawa hivyo hatuna connection
  9. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Niko hapa toka mwezi wa 2. Nakaribia mwaka
  10. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Bora ningeendaga kutafuta maisha Tunduma!
  11. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Ndaga fijo gwa kukaja. Nilikuja kizembe mji wa watu nkamu!
  12. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Asante sana
  13. D

    Natafuta kazi KAHAMA

    Ndugu zangu nipo Kahama hapa mambo yameniendea ovyo kabisa. Nimepoteza mtaji wote katika biashara za kimachinga sina hata nauli ya kurudi Mbeya nilipotoka kuja hapa KAHAMA. Natafuta kazi yoyote ya halali hapa KAHAMA, niifanye kwa miezi miwili hii, mpaka mwezi wa pili ili angalau nipate nauli...
Back
Top Bottom