Recent content by Dandamerci

  1. Dandamerci

    Vipi ndugu zangu mimi naona hali ya uvivu imeniandama

    Sijuwi kama ni shetani ndo amenitawala Yaani michongo ya pesa napata saana tena kazi nzuri nzuri ila sasa kuajibika ili nitimize ni kazi Yaani. Najikuta na penda simu saana kuliko maisha. Yaani baada ya kufilisika mara ya kwanza na hisi sitofanikiwa tena I don’t know what i can do ili...
  2. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Pesa ni nayo bro na ishi uku canada kwa iyo nikiwa TZ na weza jiita tajiri maana mshara wangu kwa shilling za kitanzania kwa muezi napokeaga milioni 4 na zaidi
  3. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Bro mimi sio mtanzania kwa iyo kiswahili kwangu najuwa kuongeya tu kama nilivyo funzwa ila kuandika uko sijui sasa sijui nini ni andike ili kieleweke vizuri
  4. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Dah kiswahili kigumu any way sio lugha yangu na jikaza tu ivo ivo na wanao ni elewa wana elewa
  5. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Kuwa under 20 ndo wana sema uwe na wanaume wengi? Alafu cha ajabu kakisha pigwa saana ndo kana kuja na usumbufu eti uni rizishi na wakati uko kali kuwa kana pigwa na vumbi la kongo
  6. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Ume juwa kabisa ana miaka 19
  7. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Kwani nime andika vibaya au
  8. Dandamerci

    Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

    Jambo ndugu zangu, Nahitaji msaada wenu. Mimi ni kijana nina miaka 22 niko kwenye mausiano na dada fulani ambaye tuna tarajia kuoana. Sasa kuna vitu ambavyo vina ni tatizaga na jiulizaga sipatagi majibu. Na vitu hivyo ni kuhusiana na tabia ya huyo binti. Mara nyingi huyu mtoto wa kike huwa...
Back
Top Bottom