Recent content by dan001

  1. dan001

    Mandamano yaitishwe nchi nzima kushinikiza kupatikana katiba mpya ili kudhibiti mafisadi wa CCM. Vinginevyo tukisubiri baada 2025 tutaumia

    we unatumia JF alafu haujui kama katiba iliyopo inakuumiza usingekua unadaiwa na nchi zingine tungekuwa na uchumi wa kujitegemea kama tukipata katiba mpya
  2. dan001

    Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

    mama anaupiga mwingi bhna, kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake kwamba umesahau mara hii
  3. dan001

    Umoja Party isije ikawa kama genge la UKAWA huko baadae. Ila kiukweli anayemkataa Magufuli kwa sisi walalahoi ni " mchawi"

    you give, if you give up, if you give up you can lose everything, so don’t give up. If you can give up you can lose yourself and you can lose people who choose to be with you, If you choose to start then sacrifice your life first.
  4. dan001

    Swala la mabadiliko ya matamshi/ kauli ya baadhi ya viongozi shida inakuwa nini hasa?

    Katika uongozi wa aina yoyote ile ni muhimu sana kiongozi akawa na maamuzi ya aina moja na msimamo wa aina moja, bila kujali matokeo hasi au chanya, lakini kama nchi ikiwa na kiongozi ambae kwa kawaida ni kiongozi ambae anabadilika katika maamuzi yake. kwa hali kama hii kunauwezekano wa kuja...
  5. dan001

    Hatumsemi vibaya Marehemu bali tunayasema matendo yake

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  6. dan001

    Hatumsemi vibaya Marehemu bali tunayasema matendo yake

    pimbi wewe kwani me nimekuomba usome au kama huna mda pita kama haujaona
  7. dan001

    Hatumsemi vibaya Marehemu bali tunayasema matendo yake

    alafu watanzania wengi ni wavivu kufikiri acha niwaambie kitu kimoja kwa uongozi wowote ule uwe mbaya au uwe mzuri hua lazima kuwepo na watu watakao kufa ataa iwaje hii ni kutoka enzi za mababu ata kwa izi dini tulizo letewa wanasema mfalume alikua akimwabudu MUNGU lakini uyo mfalme aliua...
  8. dan001

    Hatumsemi vibaya Marehemu bali tunayasema matendo yake

    wewe ndio umeongea madarakani tuna kivuli tuhh kwa sasa mana nchi kila inapoitwa leo inapingwa pesaa sasa madini yamekua kama maandazi yanavyouzwa mtaani
  9. dan001

    Hatumsemi vibaya Marehemu bali tunayasema matendo yake

    huna la kuongea wewe its better ukae kimya tuh
  10. dan001

    Hakuna Viongozi Wenye Uchungu na Nchi au Ndio Wenye Nguvu Hawaoni Madudu Yanayo Endelea

    yaani kwa sasa hatuna kitu Tanzania ehh MUNGU tusaidie
  11. dan001

    Yaandaliwe Mapokezi makubwa kwa Rais Samia tokea Marekani

    maandalizi ya kufuja mali za umma au maandalizi ya nini inaonekana haufikiri
Back
Top Bottom