Ushauri wa bure NMB, mimi nilifungua akaunti Mtwara nikiwa Mwalimu nimehama Mtwara tokea 2013. Kadi yangu ya ATM iliisha matumizi 2015.
Nilipoenda NMB Arusha ku renew nikaambiwa fuata kadi yako ipo Mtwara au nilipe 15,000 ili itumwe Arusha. Mimi pia ni mteja wa NBC lakini u
NBC wanatoa ATM...
Dawasco mnakera. Eneo la Mikocheni B mbele ya 5 Star Apartment kuna shimo limechimbwa na Dawasco na lina zaidi ya mwaka na ni chanzo cha ajali usiku. Kwa nini wachimbe mashimo kwa ajili ya kurekebisha mifumo ya maji na kujisahaulisha? Mimi nina mwaka wa pili sipati tena sms ya bill ya maji, why...
Suala la kuhakikisha wenye viwanja walivyouziwa na Manispaa ya Kinondoni wanaviendeleza kama kuweka hata nguzo na kuvisafisha mara kwa mara ni muhimu sana. Baadhi ya viwanja ni kama havina mwenyewe na ni chanzo cha uvamizi/kuuziwa watu kitapeli.
Wizara ya Maliasili haina budi kuangaliwa kwa jicho la pekee kama Wizara ya Madini. Tokea miaka ya 1990's hadi sasa Loliondo na Mwarabu ni kama wimbo usioisha. Kwa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.