mi nilitumiwa email mbili ya kwanza ya interview na ya pili hii hapa
DANGOTE INDUSTRIES LIMITED TANZANIA
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
P. O BOX...
Mimi ni mmoja wa watanzania mliotuita kwenye interview ya tarehe 21 sasa mbona mnazingua tena eti mmebadilisha halafu hamjasema itakuwa lini
eti mpaka mtakapo tutaarifu tena mnatupa hofu sana bana.
mi ninahofu nafasi yangu isije ikachakachuliwa ila nazidi kuomba Mungu tu (ewe mwenyezi MUNGU...
Nilisikiliza radio imani hadi sasa fire wameshawasili na kazi ya kuzima inaendelea vizuri japo moto ulikuwa n mkubwa sana na chanzo hakijajulikana soko la pembeni na maduka viko salama. fire wanashirikiana na wananchi kuzima moto
pole sana ndugu hata mm cjapita mana cjafikisha marks zao za pract swali lilikuwa moja na ckulielewa vizuri ila wenzetu wa mobile application hali haikuwa nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.