Recent content by damper

  1. damper

    Watu wote wenye akili timamu wanahudhuria ama kufuatilia kesi ya Shujaa Tundu Lissu

    Akili sio kama BUSHA kama wewe una akili tuonyeshe ipo wapi.
  2. damper

    Watu wote wenye akili timamu wanahudhuria ama kufuatilia kesi ya Shujaa Tundu Lissu

    Nyumbu katika ubora wako, unaijua Dunia wewe? Nchi inaitwa Tanzania kuna sehemu hawaijui kabisa. Sasa watajuaje habari za Lisu wakati nchi tu haifahamiki!
  3. damper

    Mo 29 ilikua inaujasiri wa Hali ya juu kama tungekua na jeshi shughuli ingeisha hata kabla ya saa 10 jioni

    Hayo unayosema yameisha tokea sehemu mbali mbali hapa Tz, mfano Kibiti. Lakini nini kilifata baadae?
  4. damper

    PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

    Walio Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile. Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
  5. damper

    PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

    Walio Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile. Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
  6. damper

    Mo 29 ilikua inaujasiri wa Hali ya juu kama tungekua na jeshi shughuli ingeisha hata kabla ya saa 10 jioni

    Acha kuongea UPUMBAVU wewe kichogo. Unadhani Civil War ni nyepesi kiivyo? Iran ambako raia wanaomiliki silaha ni wengi kuliko hapa Tz, walikuwa wapole mbele Jeshi. Kuona mwenzako anaanguka chini kwa kupigwa risasi tena mlikuwa nae kwenye lengo lenu si kitu kidogo. Ujasiri wa kusonga mbele...
  7. damper

    Exclusive documentary!... TUNDU LISSSU shujaa. Karibu tena Uraiani baada ya takribani miezi 10 gerezani kwa kesi ya uongo wa kubumba..!

    Ujuaji mwingine bwana!! Hawa watu wanapatikana wengi kwenye familia za Nyumbu, kwani huko ndiko wanakokubalika sana.
  8. damper

    Exclusive documentary!... TUNDU LISSSU shujaa. Karibu tena Uraiani baada ya takribani miezi 10 gerezani kwa kesi ya uongo wa kubumba..!

    Kwahiyo hii nchi wananchi ni Chadema tu, hakuna wananchi wa vyama vingine? Nyumbu msipende kujipa u muhimu wakati hamna sifa hizo.
  9. damper

    Rais Samia kuongoza protokali ya mazishi ya muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei

    Wengi wenu mmeijua Chadema kupitia Mbowe. Enzi ya Bob Makani wengi wenu hamkuwapo, leo mnamuona Mbowe ana kimbele mbele!! Kwanza msiba unamhusu sana yeye kuliko hata chama maana ni baba mkwe huyu aliefariki. NYUMBU WATOTO WAMEKUWA WENGI KULIKO WAZAZI WAO.
  10. damper

    Confirmed, Nyumba ya Stevin Wassira ilichomwa moto kwenye MO29

    Si amini kama ipo siku mtarudia kuingiza pua zenu barabarani tena. Mlipata tiba stahiki, sasa mnahangaika na ICC. na yenyewe inaogopa kama nyinyi😀😀
  11. damper

    Anayeogopa kufa na kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli ni mhaini dhidi ya serikali ya mungu na anamchango mdogo kwenye kujenga nchi bora

    Wewe usieogopa kufa endelea, sisi tuache hapa hapa. Ushujaa wa kingese peleka kwa familia ya nyumbu. KWENYE DUNIA HII UKICHOKONOA MASLAHI/ ULAJI WA WATU TEGEMEA MABAYA YAKUPATE. KUTEKWA, KUFI...., KUFA YOTE NI STAHIKI YAKO. HAPA DUNIANI TAFUTA AMANI. KUPATA HAKI NI KWA MOLA TU.
  12. damper

    Ushauri wa Bure kwa Usalama wake ni huu hapa, waliokaribu naye wamfikishie

    Duh! Wewe jamaa jitahidi kupata haja kubwa mara tano kwa siku. Haya uliyoyatoa hapa, ni matokeo ya kinyesi kuzidi damu na maji mwilini mwako.
  13. damper

    Kusema ukweli nimeshindwa kabisa kusahau yaliyotokea oktoba29 sitasahau mpaka naingia kaburini!

    Kila mara majambazi wanapigwa risasi na kufa damu yao inalilia wapi? Wale wa tarehe 29 hawana tofauti na majambazi au magaidi. Leo bado tupo Tanzania ni kwa sababu za hatua madhubuti kuchuliwa dhidi yao. Wengine kila wakitaka kuingiza pua wanakumbuka ile picha ya oct 29 wanagwaya.
Back
Top Bottom