Nyumbu katika ubora wako, unaijua Dunia wewe?
Nchi inaitwa Tanzania kuna sehemu hawaijui kabisa.
Sasa watajuaje habari za Lisu wakati nchi tu haifahamiki!
Walio
Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile.
Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU
Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
Walio
Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile.
Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU
Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
Acha kuongea UPUMBAVU wewe kichogo.
Unadhani Civil War ni nyepesi kiivyo?
Iran ambako raia wanaomiliki silaha ni wengi kuliko hapa Tz, walikuwa wapole mbele Jeshi.
Kuona mwenzako anaanguka chini kwa kupigwa risasi tena mlikuwa nae kwenye lengo lenu si kitu kidogo.
Ujasiri wa kusonga mbele...
Wengi wenu mmeijua Chadema kupitia Mbowe.
Enzi ya Bob Makani wengi wenu hamkuwapo, leo mnamuona Mbowe ana kimbele mbele!!
Kwanza msiba unamhusu sana yeye kuliko hata chama maana ni baba mkwe huyu aliefariki.
NYUMBU WATOTO WAMEKUWA WENGI KULIKO WAZAZI WAO.
Wewe usieogopa kufa endelea, sisi tuache hapa hapa.
Ushujaa wa kingese peleka kwa familia ya nyumbu.
KWENYE DUNIA HII UKICHOKONOA MASLAHI/ ULAJI WA WATU TEGEMEA MABAYA YAKUPATE.
KUTEKWA, KUFI...., KUFA YOTE NI STAHIKI YAKO.
HAPA DUNIANI TAFUTA AMANI.
KUPATA HAKI NI KWA MOLA TU.
Kila mara majambazi wanapigwa risasi na kufa damu yao inalilia wapi?
Wale wa tarehe 29 hawana tofauti na majambazi au magaidi.
Leo bado tupo Tanzania ni kwa sababu za hatua madhubuti kuchuliwa dhidi yao.
Wengine kila wakitaka kuingiza pua wanakumbuka ile picha ya oct 29 wanagwaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.