Recent content by damper

  1. damper

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    Iwe vyovyote vile kodi inalipwa na wote hata hao watakaopewa nao ni walipa kodi pia.
  2. damper

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ona upuuzi mwingine, watu tunalia vifo vya ndugu zetu vya Oktoba 29, 2025, chawa anatuletea upuuzi

    Uko na nani kwenye msiba wewe? Toa Uchuro wako hapa. Wengine maisha yanasonga.
  3. damper

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Oktoba 29 Serikali ilitumia busara, Majeshi yalitaka kugonganishwa

    Hata kupigwa za macho kama utakomaza fuvu
  4. damper

    JamiiForums Tanzania Majibu kwa Paschal Mayalla: Nani alitoa amri ya risasi au ni sheria ilijiandaa kulinda Jamhuri?

    Uwongo wa kipumbavu kabisa, nani anaweza kutazama mpira kwenye banda au hata nyumbani wakati mita chache kutoka hapo kuna milio ya risasi!! Watu walitumia hayo mabanda kama vichaka vya kukimbilia wanapofukuzwa na askari. Na baadae wanatoka na kushambulia.
  5. damper

    JamiiForums Tanzania Watu wote wenye akili timamu wanahudhuria ama kufuatilia kesi ya Shujaa Tundu Lissu

    Akili sio kama BUSHA kama wewe una akili tuonyeshe ipo wapi.
  6. damper

    JamiiForums Tanzania Watu wote wenye akili timamu wanahudhuria ama kufuatilia kesi ya Shujaa Tundu Lissu

    Nyumbu katika ubora wako, unaijua Dunia wewe? Nchi inaitwa Tanzania kuna sehemu hawaijui kabisa. Sasa watajuaje habari za Lisu wakati nchi tu haifahamiki!
  7. damper

    JamiiForums Tanzania Mo 29 ilikua inaujasiri wa Hali ya juu kama tungekua na jeshi shughuli ingeisha hata kabla ya saa 10 jioni

    Hayo unayosema yameisha tokea sehemu mbali mbali hapa Tz, mfano Kibiti. Lakini nini kilifata baadae?
  8. damper

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

    Walio Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile. Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
  9. damper

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ICC wanatuchelewesha sana

    Walio Waliokufa 98% ni wahalifu na walistahili kufa namna ile. Huku mtaani ukiiba simu au hata kuku, hukumu yako ni KIFO TU Sasa wale walikuwa MAJAMBAZI, MAGAIDI NA VIBAKA.
  10. damper

    JamiiForums Tanzania Mo 29 ilikua inaujasiri wa Hali ya juu kama tungekua na jeshi shughuli ingeisha hata kabla ya saa 10 jioni

    Acha kuongea UPUMBAVU wewe kichogo. Unadhani Civil War ni nyepesi kiivyo? Iran ambako raia wanaomiliki silaha ni wengi kuliko hapa Tz, walikuwa wapole mbele Jeshi. Kuona mwenzako anaanguka chini kwa kupigwa risasi tena mlikuwa nae kwenye lengo lenu si kitu kidogo. Ujasiri wa kusonga mbele...
  11. damper

    JamiiForums Tanzania Exclusive documentary!... TUNDU LISSSU shujaa. Karibu tena Uraiani baada ya takribani miezi 10 gerezani kwa kesi ya uongo wa kubumba..!

    Ujuaji mwingine bwana!! Hawa watu wanapatikana wengi kwenye familia za Nyumbu, kwani huko ndiko wanakokubalika sana.
  12. damper

    JamiiForums Tanzania Exclusive documentary!... TUNDU LISSSU shujaa. Karibu tena Uraiani baada ya takribani miezi 10 gerezani kwa kesi ya uongo wa kubumba..!

    Kwahiyo hii nchi wananchi ni Chadema tu, hakuna wananchi wa vyama vingine? Nyumbu msipende kujipa u muhimu wakati hamna sifa hizo.
  13. damper

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuongoza protokali ya mazishi ya muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei

    Wengi wenu mmeijua Chadema kupitia Mbowe. Enzi ya Bob Makani wengi wenu hamkuwapo, leo mnamuona Mbowe ana kimbele mbele!! Kwanza msiba unamhusu sana yeye kuliko hata chama maana ni baba mkwe huyu aliefariki. NYUMBU WATOTO WAMEKUWA WENGI KULIKO WAZAZI WAO.
Back
Top Bottom