Mi nakumbuka kuanzia darasa la kwanza hadi la nne sikuwa navaa viatu. Sasa wakati wa kiangazi muda wa saa nane parade mchanga ulikuwa unaniunguza nyayo kinooma. Nilijikuta napiga makitamu bila kuambiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.