Recent content by Damas Exaud

  1. Damas Exaud

    Nahitaji niingie kwenye kilimo cha maharage

    Asante Sana kaka Je, kwa maharage ya Njano na soya kwa ekari Moja inakadiriwa mavuno kiasi Gani? (Gunia ngapi kwa eka Moja)
  2. Damas Exaud

    Nahitaji niingie kwenye kilimo cha maharage

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu jamaaa
  3. Damas Exaud

    Tanzania kwa sasa ndio ime-dominate biashara hapa EAC, ndiyo top export economy kuzidi nchi zote

    Very good....[emoji109][emoji109], Mwenye Ako na akili ameelewa
  4. Damas Exaud

    Nini tofauti ya kesi ya jinai na kesi zingine?

    Case ya jinai (criminal case (offense)....dhidi ya case ya madai (Kuna civil case,tort related case ambapo nazo huwa sehemu ya Civili(madai) case.....
  5. Damas Exaud

    Sheria inasemaje kuhusu kuzaa na mke wa mtu?

    Huna kosa kwenye macho ya sheria..kwa sababu kama ungekuwa unajua kuwa yule mwanamke kwenli kaolewa ana mume wako Kabisa, hapo ungekuwa na kosa na ungeshitakiwa kwa kula mke wa mtu .lakin kwakuwa mwanamke alikataa kama kaole a badala yake ni single mother...hiyo sababu pekee inakuondolea kosa...
  6. Damas Exaud

    Sheria inasemaje kuhusu kuzaa na mke wa mtu?

    Hana kosa lolote maana alipata ushirikiano mkubwa toka kwa mwanamke...na pia ukiangalia mda aliokaa huyo mune wake miaka minne...mingi mno...hapa mwanamke ndo Mwenye makosa maana alidanganya!! Jamaa hana kosa,hapa aende tuu ustawi wa jamii...
  7. Damas Exaud

    Kitu gani kinaweza kusababisha shahidi kukataa kuendelea na cross examination?

    Wakili kwenda faragha na shahidi ni kosa pia..maana kule wanaenda kufanya kosa kisheria (coaching witness!!) Ambayo hairuhusiwi..maana inasababisha miscarriage of justice [emoji109] Kama wanafanya hivyo ni wahuni na wapi kinyume na sheria
  8. Damas Exaud

    Shahidi kukimbia cross examination nini matokeo yake?

    Kama shahidi atakimbia cross examination baada ya kutoa ushahidi wake...basi ushahidi wake utatupiliwa mbali (hautatumika) at some point, shahidi atashitakiwa kwa kudharau mahakama! Kwa sababu ukisha apa,lazima uwe binded na Amri ya mahakama ambapo ni pamoja na kutoa ushahidi kama inavyokupasa
  9. Damas Exaud

    Kauza nyumba kagoma kutoka

    Imeisha .....wala asisumbuke Sana, maana hii order ( eviction notice) ikitolewa na mahakama afu akakaidi...tayari atashughulikiwa na mahakama (contempt to court)[emoji109]
  10. Damas Exaud

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Pole Sana, Kuhusu kosa la kutoa Mimba Hilo report tu polisi,linatosha kumtia hatiani .ambapo pamoja na Hilo la kukutishia,matusi yataunganishwa.....(makosa ya jinai hayo) NB.. kuhusiana kukosa ushirikiano toka kwa familia yake...inategemea maneno aliyowapandikiza kuhusu wewe! This is common!
  11. Damas Exaud

    Nahitaji niingie kwenye kilimo cha maharage

    Ndugu wasomaji, natamani na nahitaji niingie kwenye kilimo Cha maharage, nipo Njombe, ni Aina ipi inafaa saana hasa yenye Bei nzuri na mavuno mazuri niitumie?
Back
Top Bottom