Shida sio kwamba watoto wetu hawana uwezo bali ni mifumo mibovu ya elimu tuliyonayo.mfano unakuta mtu anasoma mpk kidato ch nne lakin haelewi hata anataka kuwa nani,na nchi hii wasomi ni wengi na uwezo wa nchi kuwamudu ni mdogo na hivyo lengo kuu ni kupunguza wasomi kwa njia tofautitofauti,hii...
Habari wanandugu,
Hivi kati ya nadharia na vitendo katika kozi ya utabibu wapi ni pagumu zaidi, yaani Kama ni mwanafunzi unakuta anajua nadharia vizuri lakini ukimpeleka kwenye vitendo hajui na mwingine anajua vitendo lakini nadharia hajui.
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza mpaka Sasa...
Habari wanajamii ,hivi ni mbinu gani walizotumia kufaulu vizuri na kupata gpa nzuri ya kwenda degree kwa wale walioanzia diploma za afya kwa vyuo serikali Kama vile phamacy, clinical medicine na nursing, maana naskia kufaulu vyuo vya serikali kwa GPA kubwa ni ngumu kuliko vyuo vya private.tupeni...
Naomba calculation ya fixed account kwa crdb mkuu, Kama mtu akiweka 60milion atapata shingap kila mwezi kwa miaka 3
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Pesa kuitoa ni simple sana lakini kuidumisha katika mzunguko inahitaj kujitoa,kujituma,na kufanya tafiti za kina zaidi
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Na ni pesa ya uhakika ambayo hutumii nguvu nyingi kuipata japo ni kwa kiasi kidogo lkn hicho kidogo ndo unaweza fanyia kitu
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
riba ni nini hakuna biashara isiyo na riba,ko hata ukinunua kitu kw Mia 500 na ukauza 700 ,hiyo 200 ya faida ni sawa na riba tu,Kama unataka uhalali labda uuze mia500 hiyohiyo,ko Cha msingi ni kufanya Jambo ambalo halimzulu mwingine
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Mambo ya kuokota dodo ndg ni kw mtu yoyote,so kwa kila mtu,unaweza Jenga kwa bei ndogo na ukauza kw bei ndogo zaidi, lazima uwe na jicho la mbali.
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.