Ndugu kiranga nilivyomuelewa mm lowasa anandoto ya urahisi na anamipango aiwezi timia bila ya kofia ya urais hivyo lazma afight ili mipango yake aitimize inshot anasumu ngoja afanikiwe utaiona na wapinzani wake wanajua endapo.....!!! Watahama nchi
HUU NDIO UKWELI Nitashangaa sana iwapo katika UKAWA mgombea urais wa muungano atoka cuf na wa zanzibar cuf. huo utakuwa sio umoja bali ni umwinyi. kwa maoni yangu mgombea wa urais wa ukawa wa muungano anapaswa kutoka CHADEMA,NCCR MAGEUZI ama NLD. nje ya hapo ni unafiki tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.